Hujambo wewe?
ndio hapo mabinti hua siwaelewi, siku ya pasaka nilikutana na mabinti walikua wanaenda Club tukawabeba walikuwa ni wanafunzi wa chuo, kufika pale Club nikawalipia wote kiingilio mimi nikabaki nje kuna sehemu nikawa napiga Lager zangu wao wakaingia ndani, binti mmoja akomba namba yangu kweli mtoto mzuri ana sifa zote na alikuwa bomba ile mbaya, nikampa namba yangu baada ya muda kidogo nikaingia mle ndani nikamkuta anakunywa nikamuongezea castle rite kama 3 hivi akalewa taabani, baadae alfajiri tukawarudisha kwao, kesho yake mchana akanipigia nikaongea nae mazungumzo kawaida tu, jumanne ya pasaka akasema ilikuwa ni birthday yake kwa "yeye alivyosema" nikamwambia poa nitakutoa, akasema yuko na marafiki zake nikadhani wanakuja wawili wakaja wanne na yeye watano, tukaenda sehemu tukapata Bia na nyama choma then nikawarudisha, lakini nikamuuliza inakuaje mnakuja watu kibao hata kwenye gari tunakua hatutoshi? akasema rafiki zake walishapanga kutoka kwa hiyo asingeweza kuwaacha..
baada ya siku tatu akanipigia kwa namba nyingine akasema simu yake imeibiwa, nikamuuliza aina gani na inauzwa kiasi gani akaniambia aina ya simu na bei yake mpya ni 65,000.. nikamwambia poa nitakuchangia 30,000.. nikamshangaa anasema anataka kununua Nokia X3 bei yake ni Laki 3, nikamwambia kama ulikua na simu ya 65,000 mimi nitakuchangia 30,000. tu zaidi ya hapo haiwezekani... akajifanya amekeasirika nikampotezea
Siku iliyofuata akanipigia kwa namba nyingine akaniuliza niko wapi? nikamwambia nipo somewhere huwa wanauza chakula na Bia... akaja na rafiki yake pale mimi bila kujua wakaagiza chakula cha 15,000 yeye na rafiki yake pamoja na red Bull na Castle rite, nikalipa wakati tunaendelea kunywa akanitumia ujumbe ana shida na 20,000. nikamwambia kwanini hukuniambia mapema? baada ya nusu saa tena nimtumie credit, " nikamwambia credit ya nini wakati tupo face to face"
nilichofanya nikampa 20,000 nikalipa chakula na nikampa onyo next time ukiweka order bila kuniambia itakua imekula kwako nikaachana nae
muda hautoshi naishia hapa lakini mabinti ni wapuuzi tena sana ndio maana hua wanamegwa na kuachwa, Msosi, Simu, vitu ambavyo havina tija wala thamani kama utu wao....
Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta nakushauri tulia hao mademu wa chuo hawana maana hata kidogo...