Sitachangia Uzi wowote kwa Lugha ya kiswahili

Sitachangia Uzi wowote kwa Lugha ya kiswahili

Nfumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
610
Reaction score
698
Kuanzia leo sitachangia kitu chochote jamii forum kwa lugha ya Kiswahili iwe mada imeletwa kwa lugha ya kiswahili ama ya kingereza nitachangia kwa lugha ya kingereza hata kama ni kibovu kupitiliza na hii inatokana na sababu zifuatazo

1.Haiwezekani natarajia kujiunga mwaka wa kwanza chuo nikiwa mbovu au mtu nisiye nauwezo wa kuandika lugha ya kingereza vizuri

2.Nikiwa shule enzi hizo kulikuwa kuna kale kamsemo kuwa "wanasayansi huwa hatunaga mda na kingereza" huu ujinga sihitaji kuendeleza nikiwa naanza chuo mwaka huu

3.Kudharau lugha kwasababu kutwa nzima nilikuwa naongea kiswahili na machizi kitu kilichopelekea nisiweze kuongea kingereza vizuri

HIVYO BASI HAYA YATAKUWA MAANDISHI YANGU YA MWISHO KABISA YA LUGHA YA KIPEKEE YA KISWAHILI

so Long story short from these point to go on l will neither writing nor comment anything never in Swahili language in order to gain my writing English skills
 
in order to gain the english writtings skills..

good to you... you take a good decision and you will succed kama kweli unania
 
Kuanzia leo sitachangia kitu chochote jamii forum kwa lugha ya Kiswahili iwe mada imeletwa kwa lugha ya kiswahili ama ya kingereza nitachangia kwa lugha ya kingereza hata kama ni kibovu kupitiliza na hii inatokana na sababu zifuatazo

1.Haiwezekani natarajia kujiunga mwaka wa kwanza chuo nikiwa mbovu au mtu nisiye nauwezo wa kuandika lugha ya kingereza vizuri

2.Nikiwa shule enzi hizo kulikuwa kuna kale kamsemo kuwa "wanasayansi huwa hatunaga mda na kingereza" huu ujinga sihitaji kuendeleza nikiwa naanza chuo mwaka huu

3.Kudharau lugha kwasababu kutwa nzima nilikuwa naongea kiswahili na machizi kitu kilichopelekea nisiweze kuongea kingereza vizuri

HIVYO BASI HAYA YATAKUWA MAANDISHI YANGU YA MWISHO KABISA YA LUGHA YA KIPEKEE YA KISWAHILI

so Long story short from these point to go on l will neither writing nor comment anything never in Swahili language in order to gain my writing English skills
Haki ya Mungu kijana umevurugwa hahahah
 
Ad nyumbani kwenu utaongea kingereza au ni jf tu?

young kilimanjaro
 
Rasi simba anatuharibia vijana uyu kashaanza practice sema kaanzisha thead kwa heading nzuri ili iwe thrilling.unafaa kuigiza mkuu
 
Kuanzia leo sitachangia kitu chochote jamii forum kwa lugha ya Kiswahili iwe mada imeletwa kwa lugha ya kiswahili ama ya kingereza nitachangia kwa lugha ya kingereza hata kama ni kibovu kupitiliza na hii inatokana na sababu zifuatazo

1.Haiwezekani natarajia kujiunga mwaka wa kwanza chuo nikiwa mbovu au mtu nisiye nauwezo wa kuandika lugha ya kingereza vizuri

2.Nikiwa shule enzi hizo kulikuwa kuna kale kamsemo kuwa "wanasayansi huwa hatunaga mda na kingereza" huu ujinga sihitaji kuendeleza nikiwa naanza chuo mwaka huu

3.Kudharau lugha kwasababu kutwa nzima nilikuwa naongea kiswahili na machizi kitu kilichopelekea nisiweze kuongea kingereza vizuri

HIVYO BASI HAYA YATAKUWA MAANDISHI YANGU YA MWISHO KABISA YA LUGHA YA KIPEKEE YA KISWAHILI

so Long story short from these point to go on l will neither writing nor comment anything never in Swahili language in order to gain my writing English

= to make the long story short, from now on l will neither write nor comment in Swahili to improve my English.
 
= to make the long story short, from now on l will neither write nor comment in Swahili to improve my English.

Hivi nikiandika ‘To make a long story short’ badala ya ‘To make the long story short’ nitakuwa nimekosea?
 
Back
Top Bottom