Kuanzia leo sitachangia kitu chochote jamii forum kwa lugha ya Kiswahili iwe mada imeletwa kwa lugha ya kiswahili ama ya kingereza nitachangia kwa lugha ya kingereza hata kama ni kibovu kupitiliza na hii inatokana na sababu zifuatazo
1.Haiwezekani natarajia kujiunga mwaka wa kwanza chuo nikiwa mbovu au mtu nisiye nauwezo wa kuandika lugha ya kingereza vizuri
2.Nikiwa shule enzi hizo kulikuwa kuna kale kamsemo kuwa "wanasayansi huwa hatunaga mda na kingereza" huu ujinga sihitaji kuendeleza nikiwa naanza chuo mwaka huu
3.Kudharau lugha kwasababu kutwa nzima nilikuwa naongea kiswahili na machizi kitu kilichopelekea nisiweze kuongea kingereza vizuri
HIVYO BASI HAYA YATAKUWA MAANDISHI YANGU YA MWISHO KABISA YA LUGHA YA KIPEKEE YA KISWAHILI
so Long story short from these point to go on l will neither writing nor comment anything never in Swahili language in order to gain my writing English skills
1.Haiwezekani natarajia kujiunga mwaka wa kwanza chuo nikiwa mbovu au mtu nisiye nauwezo wa kuandika lugha ya kingereza vizuri
2.Nikiwa shule enzi hizo kulikuwa kuna kale kamsemo kuwa "wanasayansi huwa hatunaga mda na kingereza" huu ujinga sihitaji kuendeleza nikiwa naanza chuo mwaka huu
3.Kudharau lugha kwasababu kutwa nzima nilikuwa naongea kiswahili na machizi kitu kilichopelekea nisiweze kuongea kingereza vizuri
HIVYO BASI HAYA YATAKUWA MAANDISHI YANGU YA MWISHO KABISA YA LUGHA YA KIPEKEE YA KISWAHILI
so Long story short from these point to go on l will neither writing nor comment anything never in Swahili language in order to gain my writing English skills