Sitafuti bali naulizaa hivi?

honnail

Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
9
Reaction score
0
Nyinyi akina dada mnaotaka wanaume au kuolewa ni maana kwamba hamna wanume huko muliko au vp maana nashindwa kujua naomba majibu kama unaushauri zaid nitafute waplo.honnail.com
 
wapo....lakini wenyewe wanasema widen your chances. Wamtaani wanaweza kuwa kabwela, lakini hapa naweza ondoka na buzi la nguvu au walio majuu...upo

Kwanini usiwaulize wanaume wanajitangaza humu?
 
Nyinyi akina dada mnaotaka wanaume au kuolewa ni maana kwamba hamna wanume huko muliko au vp maana nashindwa kujua naomba majibu kama unaushauri zaid nitafute waplo.honnail.com

Mtaani kwetu hawapo, waliopo bado wapo primary!!!!!!!!
 
Unafikiri utapata jibu sahihi?
kutokana na my experience, anae tafuta mume au mke basi jua hana.
Kwa utafiti wangu nimegundua humu ndani asilimia kubwa tamaa ya maisha au matatizo ya maisha.

Tamaa ya maisha, yaani mtu anataka alie afadhari na kumuacha yule masikini.
Kuna dada mmoja aliacha mume na watoto akakimbilia kuolewa amerika.

Ingawa mumewe alikua mtu mkubwa na anamaela mengi, alifikiri akienda amerika ndio atakua na maisha mazuri zaidi.


Matatizo ya maisha, yaani anateswa na alie nae na anataka atakae mthamini.
Kuna wengine wananyanyasika ktk ndoa hivo wanatafuta mume atakae mpa amani, hupo teyari kuachana na yule mtesaji.
Na kuna wengine walitumia muda kustady au kufanya kazi wakasau kua maisha ni wawili wawili.
Wamekuja kustuka miaka imeenda, ingawa kipesa wapo fit.

Na kuna wengine walipoteza muda na playboy hivo wamefunguka na kutafuta wa maana humu ndani.
Pengine wanaitaji watoto na baba safi kimawazo, kielim na kipesa.

Mwanamke kila kona anatongozwa hivo anaweza kuwa na mpenzi lakini hasimpende au hawafit to eachother
 
Nyinyi akina dada mnaotaka wanaume au kuolewa ni maana kwamba hamna wanume huko muliko au vp maana nashindwa kujua naomba majibu kama unaushauri zaid nitafute waplo.honnail.com
hayakuhusu kama unafanya research jua huna respondent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…