Sikia kama unahitaji ni PM tufanye biashara maana mzigo upo tena ukifika msimu wa mapeasi nistue maana tuna mipeasi ya kutosha kuulisha mtaa wako wote kwa mda wa miezi mitatu mfululizo
Tafadhali ni PM
jamani mimi wala sihitaji kupata mwanamke kwa njia hii na wala simlazimishi mtu na kuna watu wanachukulia utapeli au uongo.mimi msomi na naBET kisomi wala siBET kwakutumia mikeka ya EPL,LA LIGA AU UEFA.Hivi hii digirii yangu na hii mitheory na miFORMULAR niliyomezeshwa nikiitumia kuBET kwani kuna ubaya? Au wale wanaoBET kwenye mechi za mipira kila siku wanakula? NB;ukiogopa sana kupata hasara utakufa masikini ni kheri kujaribu kuliko kukubali kuukumbatia umasikini