Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Wakati nawaitaji mlinikataa.na Mimi sitaki tenamtoto mkorofi wewe.. sijapata ona,,,,
Kwaiyo?miss hiyo Avatar yako hakyanani ni hatari mpaka naniliu yangu imesimama kwa muda mrefu
ushanichanganya leo lazima nikuote nikilalaKwaiyo?
Yaani wewe alikuloga na chura sijui nani?Rafiki hiyo chura kukaa idle bila kuwa na mtu wa kuipiga makofi siyo vizuri,utapata mkosi!!
Kwani huyo ni Mimi?ushanichanganya leo lazima nikuote nikilala
Rafiki naomba nafasi please,siyo kwa chura hilo!!Yaani wewe alikuloga na chura sijui nani?
Me sina chura bnaRafiki naomba nafasi please,siyo kwa chura hilo!!
MhhhhhhhhWengi mnanifata pm kuniambia sijui nini nini
Mnanionea bure.sitafuti mtu Mimi hili ni jina langu tu.nilitafuta nikachoka.sitaki tena niacheni.
Me sitafuti mtu hukuMhhhhhhhh
Naiona hapo kwenye avatar!!Me sina chura bna
Si ndo hapo Mkuu.mtu kama anataka mchumba aende love connectWatu wa humu wanapenda sana kujudge kupitia avatar ama I'd utadhan hawajui asilimia kubwa wanafake humu kila kitu (na kwenye hii comment hawachelewi kutokwa povu)
Kwani avatar ni yangu?Naiona hapo kwenye avatar!!
mm sijuwi ila ww ndio chanzo...chochote kikitokea usiku utahusika 100%Kwani huyo ni Mimi?