Sitaki kuamini kama Polisi wamewashindwa Bodaboda, lakini wameshindikana

Sitaki kuamini kama Polisi wamewashindwa Bodaboda, lakini wameshindikana

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Kwa Sasa sheria za barabarani hapa nchini kwetu ni kama hazipo kabisa.

Bodaboda wanajiamulia Wanavyotaka,wanavuka zebra Huku wakiendesha Katikati ya kundi la raia wanaotembea kwa miguu.

Maderava wanapiga honi katika zebra wakiwa mbio wakati watembea kwa miguu wakiwa wanavuka,yaani mtembea kwa miguu Hana haki ya kuvuka zebra Hadi mwenye gari amuonee huruma.

Bodaboda hufikia hatua ya kutaka kuchoma gari moto iliyosababisha ajili bila kujali kua hata yule aliegongwa huenda ndie alievunja sheria.

Daladala,bajaji na bodaboda wanapaki zebra kwa ajili ya kusubiria abilia,hii imesababisha ajali nyingi sana za watembea kwa miguu wanaovuka .wanapaki kwa mtindo wa kublock zebra wakiamini mtu akivuka TU atapanda chombo chake,lkn kinyume chake watu wengi wamepelekea kugongwa.

Kwa kifupi sheria za barabarani hazifuatwi kbs na inayoonesha polisi ni kama wamekata tamaa.
Watoto na wazee ni wahanga.
 
Hali inatisha tuwe makini barabarani na watoto tuwalinde hao madereva wa vyombo vya moto wameamua kwa makusudi kutokutumia akili na kutumia makalio yao.
 
Hawa madereva wanaovunja sheria za usalama barabarani kwangu wataendelea kupata kichapo tu
 
Yule kada wa CC em Anayeibaga wanyama (Jangili) Alitasisitiza kuwa hataki kuwaona traffic barabarani.

Sisiem watasimamia wao sheria za usalama barabarani
 
Usijumlishe nchi nzima bwana uku kwetu Busisi na karingo mambo ya kutii sheria bila shuruti ni 100%.
 
Kwa Sasa sheria za barabarani hapa nchini kwetu ni kama hazipo kabisa.
Bodaboda wanajiamulia Wanavyotaka,wanavuka zebra Huku wakiendesha Katikati ya kundi la raia wanaotembea kwa miguu,

Maderava wanapiga honi katika zebra wakiwa mbio wakati watembea kwa miguu wakiwa wanavuka,yaani mtembea kwa miguu Hana haki ya kuvuka zebra Hadi mwenye gari amuonee huruma,

Bodaboda hufikia hatua ya kutaka kuchoma gari moto iliyosababisha ajili bila kujali kua hata yule aliegongwa huenda ndie alievunja sheria,

Daladala,bajaji na bodaboda wanapaki zebra kwa ajili ya kusubiria abilia,hii imesababisha ajali nyingi sana za watembea kwa miguu wanaovuka .wanapaki kwa mtindo wa kublock zebra wakiamini mtu akivuka TU atapanda chombo chake,lkn kinyume chake watu wengi wamepelekea kugongwa.

Kwa kifupi sheria za barabarani hazifuatwi kbs na inayoonesha polisi ni kama wamekata tamaa.
Watoto na wazee ni wahanga.
Wamelaaniwa hao mkuu
 
Siyo tu Sheria za usalama barabarani pekee sheria zote zimekosa wasimamizi wahamiaji haramu wametwaa nchi Leo Kuna mmoja alipaza sauti kwenye Sherehe sijui alitaka kusema nini!!? INGAWA alivunja utaratibu lakini inawezekana naye alikuwa muhanga wa kuvunjiwa utaratibu.
 
Back
Top Bottom