Mh. Rais katika salamu za mwaka mpya, "Mapema mwaka ujao tutaajiri walimu wapya 36,100 kati yao 18,100 wa shule za msingi na 18,000 wa sekondari.". Pia mkumbuke aliahidi ifikapo wiki ya tatu ya mwezi January atakuwa metangaza majina wa Wabunge wa Baraza Maalumu la Katiba - mpaka sasa kimya!
Maoni yangu: Ikiwa kama hizi ahadi chache hazijatekelezwa kwa wakati, tusitarajie zile ambazo hazikupangiwa muda maalumu kutekelezwa.