Hehehe, si mpaka niangukie kichwa? Naval helmet na safety harness throughout. Haili kwangu, ubishi ni genetical hapa!
Lakini, mechi za mchangani si unapiga?
aisee hii inatia simanzi,pitia makala za mahusiano na saikoloja especally zilizojkta ktk issue za confdences,kwa mtaamo wangu ulipodropiwa kwa mara ya kwanza inaweza kuwa iliathiri namna yako ya kujiamn,anza kujiamin(simaanishi hujiamin kwa sasa) na kila mmoja mwingine atakuamin,anza kujpenda zaid na kila mwingine yeyote atakupenda ol the best!
kaka kaka sijui sana njia zipi huwa unazitumia bt u hv to know that kwanza lazima umuoneshe gl kama unamjali na kumthani si kwa pesa bali the way to talk to her, the way u chat unatumia maneno gani mazuri, yenye busara, yanayovutia nearly every mornie, mchana na jioni with da nyt yan, toka naye mpige story tu, mfurahi na umrudishe kwao bila kumwambia any thing abt lv kama mara kadhaa na ukiondoka tu mtumie sms ' i mic yu baby gl, or dear, umeshakula, pole na uchovu mama, siku ya siku atakubali tu
weka picha hapa wadada waione, uone kama uopoi mdada,wadada wa jf hawalembi...
Ahahahaha inaaminika hamna mwanamke atachomoa mbele ya pesa ilihali umefikia viwango vyake vya kuhongwa na hivi yupo single huyo unaemtaka sasa we muhonge hadi akae sawa, unajua kuhonga si ujinga ila ni nature ya mwanaume.
Confidence right,then what next kuna mbinu yoyote ya ziada inayohitajika.....
Hata mimi naanza kupata wasiwasi, yaani umeguswa tu kidogo, unataka kuwarukia watu na vichwa. Swala la mapenzi yahitaji kubembelezana. Sasa kwa hali hiyo mwezangu utaweza. Mi naona tatizo lako ni ubabe, hivyo kila mmoja anataka kubaki na sura yake bila makovu, ndio maana wanakumwaga. Pole.
Sio wote wanaofanikiwa katika uhongaji ila pia wengine wanafanikiwa kwa kuhonga, give it a shot afu ona matokeo yake inaweza ikawa ndo njia kwako wewe.Kama ni kuhonga ,mbona wanaofanikiwa ktk mapenzi sio wote wahongaji, na nitahonga mpaka lini usawa huu mgumu.....
Unfortunatelly there is no love in the world there is only buznes
find money and money will bring bitches
kama haujui maumivu ya upweke unaweza usione umuhimu wa kunisaidia. Kifupi ni kuwa nimekuwa mtu wa kukataliwa kiasi cha kupoteza kabisa hata hamu ya kutongoza. Kuna mtu nimetokea kumzimia na tumezoeana kidogo and she z also single,i wish to get her pliiiiiiz assist me labda nijihisi furaha na faraja ya uwepo wa mapenzi duniani cz toka niachane na my first about seven years ago sijawahi tena kuwa ktk mahusiano ya kimapenzi sio kwamba sihitaji ila ninatoswa mpaka basi hivi ninavyoandika yaani huu mwezi nishatoswa na mademu wawili . Tatizo langu ni nini ?coz hata sielewi ,ni maneno yangu ?,mwonekano wangu ?,hali yangu ya kiuchumi ?mbona wanaonitosa mimi wanatoka na watu ambao nawazidi sana kiuchumi (kimtazamo), pliz assist cz i m badly heart with how this love thing happen to me......sitaki kumpoteza huyu sweet lady nisaidieniiii, mbaya zaidi kuna rafiki yangu ana msululu wa mabinti kama mswati so ninapoongozana nae akisindikiza one of her girls,huwa inaniumiza nikikumbuka jinsi rejections zinavyoniandama.....
Kaka cheki hapo kwenye bold jichunguze vizuri, wadada wengi hawapendi mtu mwenye maneno kibao afu vitendo ziro. nasema hivo coz kuna wanaume wanapotongoza utadhani wamemeza memory card mpaka inakuwa kero. ahadi nyingi hata ambazo huwezi kutimiza.
kama haujui maumivu ya upweke unaweza usione umuhimu wa kunisaidia. Kifupi ni kuwa nimekuwa mtu wa kukataliwa kiasi cha kupoteza kabisa hata hamu ya kutongoza. Kuna mtu nimetokea kumzimia na tumezoeana kidogo and she z also single,i wish to get her pliiiiiiz assist me labda nijihisi furaha na faraja ya uwepo wa mapenzi duniani cz toka niachane na my first about seven years ago sijawahi tena kuwa ktk mahusiano ya kimapenzi sio kwamba sihitaji ila ninatoswa mpaka basi hivi ninavyoandika yaani huu mwezi nishatoswa na mademu wawili . Tatizo langu ni nini ?coz hata sielewi ,ni maneno yangu ?,mwonekano wangu ?,hali yangu ya kiuchumi ?mbona wanaonitosa mimi wanatoka na watu ambao nawazidi sana kiuchumi (kimtazamo), pliz assist cz i m badly heart with how this love thing happen to me......sitaki kumpoteza huyu sweet lady nisaidieniiii, mbaya zaidi kuna rafiki yangu ana msululu wa mabinti kama mswati so ninapoongozana nae akisindikiza one of her girls,huwa inaniumiza nikikumbuka jinsi rejections zinavyoniandama.....