Sitaki salamu, huu mwaka uishe tu

Sitaki salamu, huu mwaka uishe tu

Strong25

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
394
Reaction score
834
Nawaambia vijana. katika kitu ambacho hutakiwi kabisa kukiwaza kwasasa nikuishi na mwanamke kabla yandoa

Hii mitindo yamaisha imekua changamoto sana hasa kwanyakati hizi.

Tafuta hela tafuta mwanamke mzuri kias mchunguze kidogo muoe. Haya mambo sijui unazalisha kwanza mara sijui sogea tuishi watu wengi wametoka mchezoni kwamtindo huu

- Sijui nisemeje ili nieleweke ila ww elewa hivyo. Kuna watu wamezaa now day kula mtu yupo namishe zake ila baba mtoto chamoto anakipata kupitia huyo mtoto.

_Kwa lugha nyepesi ukitaka kuoa usiweke Mavigezo meengi maana hutaoa. Kukaa na mtu miaka mingi bila kuoana nikumaliza muda bila sababu yamsingi . Wewe muoe kama wahovyo au mzuri utajulia huko huko.

- Utakaa nae miaka nenda rudi bila kuoana na mkioana mwaka hammalizi mnaachana vp kuhusu hizo garama ulizotumia kwake miaka yote hio..?

(kumlisha , kumvisha, akiumwa niww yan kila kitu chake ni ww alafu mnaona mwaka mmoja unagundua hana sifa zakua mke 😁 mnaachana bro utakua ww nimjinga kiwango chalami

Mwisho kabisa vijana tutafuteni pesa_kuna bondia juz kafa ulingoni akiwa anapambania ndoto zake

Kwahiyo vijana tutafute pesa wanawake utawakua huko mbele

NAWASILISHA
 
Umeandika mambo mengi sehemu Moja ila ni maoni mazuri ngoja nioe nitafute hela wanawake nitawakuta huko mbele
 
#nawaambia vijana. katika kitu ambacho hutakiwi kabisa kukiwaza kwasasa nikuishi na mwanamke kabla yandoa

_hii mitindo yamaisha imekua changamoto sana hasa kwanyakati hizi.

tafuta hela tafuta mwanamke mzuri kias mchunguze kidogo muoe . haya mambo sijui unazalisha kwanza mara sijui sogea tuishi watu wengi wametoka mchezoni kwamtindo huu

-sijui nisemeje ili nieleweke ila ww elewa hivyo. kuna watu wamezaa now day kula mtu yupo namishe zake ila baba mtoto chamoto anakipata kupitia huyo mtoto
_kwalugha nyepesi ukitaka kuoa usiweke
mavigezo meengi maana hutaoa. kukaa namtu miaka mingi bila kuoana nikumaliza muda bila sababu yamsingi . ww muoe kama wahovyo au mzuri utajulia huko huko.

_utakaa nae miaka nenda rudi bila kuoana na mkioana mwaka hammalizi mnaachana vo kuhusu hizo garama ulizotumia kwake miaka yote hio..? (kumlisha , kumvisha, akiumwa niww yan kila kitu chake ni ww alafu mnaona mwaka mmoja unagundua hana sifa zakua mke 😁 mnaachana bro utakua ww nimjinga kiwango chalami

_mwisho kabisa vijana tutafuteni pesa_kuna bondia juz kafa ulingoni akiwa anapambania ndoto zake

kwaio vijana tutafute pesa wanawake utawakua huko mbele


NAWASILISHA
Kwani kuoana ni nini hasa?
 
Kila mtu ana mtihani tofauti na wa mwingine,tumia akili yako kuyakabili ya kwako,maana jirani yako hafahamu ni namna gani unavyojitahidi kuzitatuwa changamoto zinazokukumba.
 
Kila mtu ana mtihani tofauti na wa mwingine,tumia akili yako kuyakabili ya kwako,maana jirani yako hafahamu ni namna gani unavyojitahidi kuzitatuwa changamoto zinazokukumba.
#point
 
Umeandika kama umekutana na tukio zito .
Binafisi sina mpango wa ndoa, kujua ni mwanamke yupi sahihi lazima mda uongee.
 
Umeandika kama umekutana na tukio zito .
Binafisi sina mpango wa ndoa, kujua ni mwanamke yupi sahihi lazima mda uongee.
#muda huo huo unaweza kukuharibia maisha
 
Nawaambia vijana. katika kitu ambacho hutakiwi kabisa kukiwaza kwasasa nikuishi na mwanamke kabla yandoa

Hii mitindo yamaisha imekua changamoto sana hasa kwanyakati hizi.

Tafuta hela tafuta mwanamke mzuri kias mchunguze kidogo muoe. Haya mambo sijui unazalisha kwanza mara sijui sogea tuishi watu wengi wametoka mchezoni kwamtindo huu

- Sijui nisemeje ili nieleweke ila ww elewa hivyo. Kuna watu wamezaa now day kula mtu yupo namishe zake ila baba mtoto chamoto anakipata kupitia huyo mtoto.

Kwa lugha nyepesi ukitaka kuoa usiweke.

Mavigezo meengi maana hutaoa. Kukaa na mtu miaka mingi bila kuoana nikumaliza muda bila sababu yamsingi . Wewe muoe kama wahovyo au mzuri utajulia huko huko.

- Utakaa nae miaka nenda rudi bila kuoana na mkioana mwaka hammalizi mnaachana vo kuhusu hizo garama ulizotumia kwake miaka yote hio..?

(kumlisha , kumvisha, akiumwa niww yan kila kitu chake ni ww alafu mnaona mwaka mmoja unagundua hana sifa zakua mke 😁 mnaachana bro utakua ww nimjinga kiwango chalami

Mwisho kabisa vijana tutafuteni pesa_kuna bondia juz kafa ulingoni akiwa anapambania ndoto zake

Kwahiyo vijana tutafute pesa wanawake utawakua huko mbele

NAWASILISHA
Andiko zuri sana. Hili la kuza kabla ya ndio Wahanga ni wanaume
 
Back
Top Bottom