Sitaki tena mwanamke yeyote .....

Umesema aliyekuwa demu wako sasa hasira za nini? Au ufafanue kama mmeachana baada ya kushuhudia hilo tukio.
ila kweli mana habari inaleta utata hasira za nn sasa ulikua wataka abaki bila mtu
 
mwana piga puli tu mpk boro livimbe ndo utawataka tena
 
we ulisema wa nini mwingine alikuwa anawaza atampata lini, afu tabia ya kuchungulia madirisha yasiyokuhusu acha mara moja unaona sasa kwako alikuwa haguni kwa njemba hili anaguna mpaka unasikia barabarani hahaha!
Cha kufanya kama bado unampenda:
-msamehe na kumrudia -kama atakubali inaonesha huyu jamaa mziki wake sio wa kitoto lol!
-hama mtaa arifu striti kimunuka
-vuta kifaa kingine fasta utasahau haya,hili la kujichua ukivuta picha yake haitakusaidia.
 

Kamanda umeuwa!
jamaa kesho lazma akapime bladi presha baada ya kusoma hii post yako. Dah! jamaa anahitaji ufariji wewe umempa za uso. khaaa!
 
Hii sitaki nataka ni janga la taifa kwa jinsia zote.
Kamanda nalog out, lakini wewe ndo hauonekani bana! jana tulikutafuta sana kwenye sredi ya husninyo kule jukwaa la malalamiko lakini haukuonekana, au tayari ile viza yako ya Zimbabwe wamekupatia?
 


Hapo kwenye marangirangi - hayo maneno yana maana tofauti sasa sijui unayaunganishaje pamoja?
Kwa majina uliyomwita hapo juu , ni dalili tosha kabisa kwamba mapenzi yenu mlikuwa mnadanganyana, toka lini soulmate akawa 'demu mmoja?'
pia, unasema 'aliyekuwa demu wako wa karibu', kwa maan aya kwamba kuna mwingine ambaye ni demu wako lakini sio wa karibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…