Sitamani tena kuishi Dar, amenifedhehesha sana kuniibia simu yangu

Dogo njoo nikuuzie camon 16!

Ni kali balaa

Andaa 280,000

 
Du...rudi kalime mbatata.Dar ligi nyingine.
 
Mzee Mtei alifanyaje?
Mzee Mtei mwisho. Alimshonea kijana Hadi suti kumleta karibu ili amuibie.
Nimegundua Dar unaweza ukamla kijana tiGO kwa tamaa zao za bila kujiuliza. Mzee Mtei alimpiga dogo lunch, halafu akampiga na suti Kisha akamwambia amlete na beshte yake. Unafikiri mzee Mtei angeomba vingine dogo angekataa?
 
Pole sana umenikumbusha matokeo ya f6 yametoka nimepasua nikanunuliwa simu nokia flani ya kuzungusha kama ya Rhiana kwe wimbo flani. na ela ya kusuka sangita kipande cha Upanga enzi hizo bas nikaenda kusuka siku ya kwanza naambiwa ngoja tumpgie msusi yani ni saloon lakin msus wa sangita hayupo hapo huwa wanamwita. akaja mchana tukapanga tuanze kesho bwana. kesho tukasuuuka mpk jion kikabaki kipand kidoogo akawa analazmisha tuendelee mie sa home naitwa akasema kesho saa 12 asubui uwe hapa mie sawa. kesho yake 12 saloon hawajafungua ila mi nimefika na yeye kafika hyo saloon imeunganika na gorofa makazi ya watu haya tuanze, oh kiti hamna mie hapo nimeweka headphone najiinjoi na kasimu matunda ya utulivu wangu na kuzingatia class. akahangaika kutafta kiti akaja ah em tumpgie Zai alete kiti, mie sawa oh simu haina vocha lete yako mie haya taja namba kataja ikaanza kuita nikampa...alooo, aloooo we Zai hujaamka nataka kiti niletee hapa nje, ah nawewe mvivvu aya nakuja usikate simu akaingia na simu ndani hapo ni saa moja jmn mpk saa mbili sion mtu wa saloon wamekuja wananiulza mmemaliza mie bado kaingia humo ndani hatoki tena ana simu yangu woiiiii ndo kuambiwa atakua kakimbia jmn tulitafta ndani koote namie ndo nimeangusha kilio cha haja watu wote wameamka gorofani venye ilikua jmos kha hapana alijua kuniweza hii kitu ilipelekea nitake kufunguliwa kesi huko mbele
 
Dar kila mtu ni mwizi
 
Kuna dalali mmoja Wa simu alileta utapeli wake baada ya mwezi nilimpata hakuamini macho yake kilichomkutaa...
 
Pole sana lkn inaonesha bado uko vizuri sababu umeweza hadi kuingia JF na kupost.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…