Sitamsahau huyu dada

Pesa yangu inakuuma nini

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaniuma kwa sababu, umeonesha utoto wako hapa ulipokuja jf na makelele kuwa uligharimia mno kumbe ukakuta ayi ni Aswan dam. Sidhani ka ungefurahi ka yeye ndiye alikuja jf na kusema, Ilinibidi nile ndimu nisisikie maumivu alivyokuwa ananisisitiza kuwa nije nipokee show la haja kufika kumbe ni team kiba100. Wewe ungefurahi?? Kaa na siri yako, uliyoyakuta mle yalikutosha weye tu. Kumbuka, kwa kuwa hujamuoa huyo ni mke wa mtu fulani. Atamfurahia saana japo weye hukumtaka. Kwetu kuna msemo; Ganda la muwa la jana, chungu kaona kivuno. Au, Ukisusa wenzio twala.
Sifurahii mtu yeyote anayeidharau papuchi aliyo ihangaikia saana hadi kuipata. No, huenda ndiyo maana alikuwa so expensive kukuletea
 
KODI,SIMU etc hapo papuchi hujala?????? Ujinga huo sifanyi hata siku moja!!!! Papuchi kwanza INVOICE baadae
 
Huyo atafaa sana huku uswazi kwetu tuna shida ya maji...
 
Magubegube duh.
 
Mkuu pole sana aisee sio. Kwa gharama. Hizo. Harafu unakuta ni ziwa. Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee banabana yaani hiyo laki tano me nisawa nakumpa elfu 50, hiyo laki 6 Sawa na elfu 60, nahiyo nauli yandege nisawa nakumlipia nauli yabasi kuja nilipo duh kweli maisha sio fear

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kama anahera kwelii basi anajua kuhonga kuliko kitu chochote ila inawezekana anaturusha roho tu na kutuumiza sisi tusiokuwa nazo. Lakin anatudndisha tabia mbaya ya kuhonga wanawake pesa mingi kiasi hiko 1.5 ni pesa mingi sana asikuambie mtu kuna.watu humu hawajawahi kuishika sasa unadhani. Watajisikiaje wakiskia weww umeihonga... Dah thnaumizana. Jmn bila. Sababu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naul ya dash 8?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabia mbaya sana , wakati wengi wao huwa ni sekunde 8 lakini hawatangazwi,
kuna wengine kidole cha mtoto mchanga unamstahi tu ila wao [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
tehe tehe..unamaanisha nini mkuu

mtoa mada labda huyo sio wa type yako...

wapo wanaopenda hayo mabwawa,na hawaogelei..

Sali umpate mwenye urefu wa kina chako

halafu hii tabia ya kukutana na wadada huko na kuja kusimulia ni ya kitoto sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…