Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,435
- 1,192
Kwamba hapa napigwa mkuu?Ndivyo tunavyoishi mkuu.
Kodi ya fremu ya mwezi mmoja + Hela ya kukupeleka tuliyokubaliana= Mgao wa dalali
Kwahiyo kama fremu ni 50,000. Ukataka kulipia miezi 6, basi ujue utalipia 350,000.
Ukijifanya mjanja kuwa tayari ushaijua fremu ilipo, ukaamua kusema hujaipenda, halafu baadae mkamzunguka dalali, ukaenda kuelewana na mwenye fremu kimya kimya kisha ukahamia, jiandae kula hasara tu.
Mkuu una kichwa kizito sana. Rudi kijijini kwenu aisee
Mwanzo nilienda akaniambia Kuna mtu Sasa Leo Dalali kamfuata kaongea nae amenipigia simu Kua frame iko tayari.. Wakati juzi niliambiwa Ina mtu
Samahani mkuu tunatofautiana IQ capacity..Mkuu una kichwa kizito sana. Rudi kijijini kwenu aisee