Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
Yani mie hata sikuelewagi kabisaaaWatu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.
Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.
Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.
Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
Hivi kuna Waziri ambaye ni single hadi mawazo kama haya yajakuingia kichwani na hata kama Wapo hivi kweli hawajavutwa sketi zao wakusubirie mnato kama wewe?Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.
Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.
Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.
Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
TUPE cv yako mpaka uoe WaziriWatu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.
Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.
Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.
Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
Hivi kuna Waziri ambaye ni single hadi mawazo kama haya yajakuingia kichwani na hata kama Wapo hivi kweli hawajavutwa sketi zao wakusubirie mnato kama wewe?
Huyu bwana mdogo alikuwa mzuri sana enzi za ukamanda,kipindi fulani akawa kada hapo ndio akili zikamrukaMwezi mchanga. Mkuu sikuwa nakufahamu before ila kwa thread zako nlizoziona karibun ni wazi kuwa unaweza ukawa na Depression,
Kama sio kik mkuu tafadhali tafuta washauri wa kiafya
Ndalichako...hii ndio listi ya wanawake mawaziri
1.Ummy Mwalimu
2.Kairuki
3.Stella Manyanya
4.Jenista Mhagama
5.Mabula
6.Dk.Kijaji
Sasa sijui deo anamtaja nani
Huyu jamaa hana ndugu wa karibu ? Kwanini hawamuwahishi hospitali ya akili ?!Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.
Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.
Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.
Deogratius N Kisandu
Aksanteni.
Wakuuu na amini jukwaa hili lina wabobez wa taaluma ya afya hata ramli pia nawaomba msaidieni huyu kiumbe hata kwa ushauri tuu manake hayupo sawa ipo mushkeli pahalaWatu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.
Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.
Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.
Deogratius N Kisandu
Aksanteni.