Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,810
Huyu dish limeyumba ni chenga tuUna tatizo la Psychiatric mkuu, jaribu kumuona GP
Yani mie hata sikuelewagi kabisaaa
mbona professa hapo hayupo?hii ndio listi ya wanawake mawaziri
1.Ummy Mwalimu
2.Kairuki
3.Stella Manyanya
4.Jenista Mhagama
5.Mabula
6.Dk.Kijaji
Sasa sijui deo anamtaja nani
Yawezekana Jenista. Huyo mume wake alishafariki na nafasi ipo wazihii ndio listi ya wanawake mawaziri
1.Ummy Mwalimu
2.Kairuki
3.Stella Manyanya
4.Jenista Mhagama
5.Mabula
6.Dk.Kijaji
Sasa sijui deo anamtaja nani
U kada unaleta uchiziiHuyu bwana mdogo alikuwa mzuri sana enzi za ukamanda,kipindi fulani akawa kada hapo ndio akili zikamruka
Laugh out loud!!CHIKIRA MTABARI hebu zungusha dishi huko lishaachia tena huku chanel hazisomi tena
Hao Watu wengi wanaofikiria utaoa waziri ni wawap? Mimi sijisikia mtaani wala mitandaoni. Afu wewe kila unachopost lazma ujitaje kisandu kisandu who are u? Inawezekana wewe unajichukulia Kama public figure wakati sivyo.Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake. Na hii imekuwa ikizushwa kwa kuwa nimekuwa peke yangu kwa muda mrefu.
Kimsingi Mimi siwezi kuoa Waziri kwa kuwa na MTU kutoka Taifa LA Marekani ambaye Mungu ana mwandaa.
Najua hata mateso nayopata inahisiwa kuwa nyuma kuna mawaziri wa kike na katibu mmoja wa CCM wakiratibu ili nioe Waziri. Mapenzi haya lazimishwi.
Deogratius N Kisandu
Aksanteni.