Sitarajii Kuoa Waziri kutoka Baraza la Mawaziri Mimi Deogratius N Kisandu.

Kisandu natambua kwamba wewe ni mtu uliyekuwa na maono sana.Lakini kwa post zako niko convinced kwamba something is wrong with you brother.Unahitaji maombi na counseling Yesu wa Eucarist hajawahi kushindwa kitu please mshike huyo na nakuombea huruma kuu ya Mingu. GOD makes the way where seems to be there Is no way.
 
Huyu jamaa si kuna kipindi alitangaza nia ya kuposa kwa OBAMA?
 
"Watu wengi wamekuwa wakifikiria kuwa labda nitaoa Waziri mmoja kati ya Mawaziri wanawake."


Hadi leo najaribu kujiuliza hao watu wengi ni kina nani?
 
Hahaha Huyu alipaswa kupewa ni Shani ya U-chizi wa Taifa. ...

Huyu hata Zero IQ akasome Aise
 
watanzania wenzangu huyu bwana kisandu anahitaji msaada wa haraka akili yake nina mashaka nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…