Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Halafu.....?Kipndi nipo mudogo miyaka kama kumi na 16 arikuja mujomba wangu kutoka Itaria na kutupereka bugani kuwona wanyama nakuumbuka irikuwa muaka 2012 turipanda gari kutoka kijijini adi mwanza na kesho yake tukaeda kupanda magali ya kuwenda seregeti. Jiwoni tukafika mugumu na mujomba wagu mimi na mama pamoja na watoto wake aliyotoka toka nawo itaria. tulilala otelini hadi kesho tukachukua magali ya watali na kuaza kutembea kuwona wanyama hakika wale wanyama warikuwa wanavutia sana mujomba arisema kure itaria hakuna wanyama kama ware. Baadaye turiludi tena hadi muanza na kuerekea nyumbani.
Sasa na wewe Kama yeye tu.Wacha kutuchezea wewe bwege..Kiswahili unakijua lakini unafanya mzaha,mbona sehemu zengine umeandika gari kwa usahihi halafi kwengine umejifanya mjinga.Kwengine umeandika Mwanza vizuri kwengine unajifanya bwege.Wacha kutafuta umaarufu wakijinga humu.Kuna mambo mengi yakujadili nakujifunza kuliko ujinga huu.
Naona umeipumzisha akili yako kwa muda, una kopo tupu kwa sasa.Tajilimpole sijafwuzwa matusi nashukulu sana.
Sawa Pembe za panzi [emoji5][emoji5]Sikatayi kuwa lafiki wa mutu kira mtu ni lafiki yagu.