issakwisssa
Member
- Dec 13, 2016
- 66
- 123
Hapo alisahau kusema sita; nyingine ina ladha ya pepsi baridi na nyingine ina ladha ya ndizi choma!Sehemu ya sir ina radha ya kachumbari na nyingine mishikaki sio siri naona umeamua kutuchekesha tuu
Hayo ndo madhara ya kulazimisha mambo; hao akina kamunde walikufanyia chezo ukala kondoo,mbuzi na ng'ombe.Sehemu ya sir ina radha ya kachumbari na nyingine mishikaki sio siri naona umeamua kutuchekesha tuu
Hahaha ha ha ha haaaa
[emoji23][emoji23]maana inafurahisha aisee kachumbar na mishikakiHapo alisahau kusema sita; nyingine ina ladha ya pepsi baridi na nyingine ina ladha ya ndizi choma!