SITASAHAU: Nilipaka mkongo na manzi hakutokea

Imenibidi nikujibu tu. Wapi nimesema mkongo uli stimulat hisia? Mimi nikiwa site namgonje demu masaa yte kitu Huwa bwilili bwilili. Nilipaka siku hiyo hiyo na sikupizi na sikuwa nasikia Raha yoyote.
 
We ni muongo sana jomba lini mkongo ukasababisha dudu kusimama? Wewe ulikula Viagra

Mkongo hata ukipaka nyingi kiasi gani mboo haiwezi simama bila sababu za msingi
Soma vzr haipo sehem nimeandika ulisababisha kusimama! But Mimi binafsi nikiwa na appointment na Dem hisia Huwa zinakuwa juu mno muda wote na hicho ndo kilinifanya nikwee mnazi na Bado ikabuma! Sikuwa nahisi chochote. Viagra sijawahi tumia na najua si ya kumeza Ile?
 
Chai imekosa chapati, ukiwa kwenye reality show Manzi asipotokea agiza bodaboda akuletee Manzi hutoamini macho yako.
 
Nimeanza kuelewa kwanini unampenda mke wako... Keep it bro safi sana kwa kuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…