S Supervision JF-Expert Member Joined Jun 16, 2016 Posts 265 Reaction score 203 Apr 5, 2017 #1 Mambo vip?Wadau katika maisha tunapitia mambo mengi hivyo wakati fulani tunatakiwa kushare uzoefu ili tuweze kupata elimu kidogo.Karibuni tushare stori ambayo huwezi kusahau hapa chini:
Mambo vip?Wadau katika maisha tunapitia mambo mengi hivyo wakati fulani tunatakiwa kushare uzoefu ili tuweze kupata elimu kidogo.Karibuni tushare stori ambayo huwezi kusahau hapa chini:
gfsonwin JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 18,272 Reaction score 20,692 Apr 5, 2017 #2 seva zitajaa sasa
KING 360 JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 3,002 Reaction score 5,192 Apr 5, 2017 #3 Anza yakwako kwanza
Padri Mcharo JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 1,899 Reaction score 3,688 Apr 5, 2017 #4 Ungeanza kutoa mfano bwana mdogo.... Ama umekosa kazi ya kufanya???
Mgodo visa JF-Expert Member Joined Nov 1, 2016 Posts 3,590 Reaction score 3,632 Apr 5, 2017 #5 Wametumwa haoo...lengo ni kutupa/kuanzisha mijadala isiyo na umuhimu, lengo tusahau mambo ya msingi.
S succinate coA hydrogenase Senior Member Joined Dec 30, 2015 Posts 185 Reaction score 223 Apr 5, 2017 #6 Mm sitasahau intro ya jkt... Miezi mi3 ilikuwa Kama mwaka.....kifo unakiona usoni dadadeq
S Supervision JF-Expert Member Joined Jun 16, 2016 Posts 265 Reaction score 203 Apr 5, 2017 Thread starter #7 Hapana wadau,kuna project naifanya so nahitaji kupata kujifunza kutoka kwa jamii