Sitasahau!!!

Susy Story yako inasikitisha sana...Pole sana kwa yote uliyokumbana nayo kwenye Maisha, kwa mwanadamu kila jambo analokumbana nalo huja kwa sababu..nadhan kwa kupitia yote yalikukomaza akili na kukupa ujasiri mkubwa wa kupambana nayo bila kukata tamaa. Wasamehe wote mungu atawalipa kutokana na matendo yao yaliyoyafanya
 
pole sana dada Suzy

Naomba Mungu akupe baraka zaidi ili wale waliokunyanyasa washuhudie wenyewe
 
hujafa hujaumbika.na hua wanasema ukiwa ndan ya kichaka huwezi ona msitu bali utaona miti,ila ukitoka ndan ya msititu hutaona miti bali msitu
 
hujafa hujaumbika.na hua wanasema ukiwa ndan ya kichaka huwezi ona msitu bali utaona miti,ila ukitoka ndan ya msitu hutaona miti bali msitu
 
hujafa hujaumbika.na hua wanasema ukiwa ndan ya kichaka huwezi ona msitu bali utaona miti,ila ukitoka ndan ya msitu hutaona miti bali msitu
 
Jamani Suz

Pole sana na Mungu akubariki na akuongoze katika siku zijazo kumbuka kusali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…