Sitazami movie za kibongo ila natamani kuona hii movie mpya trailer yake imenivutia sijui kisa imechezea nje

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Hii ni trailer ya nothing else ya movie toka timamu, imenivutia natamani nione hii movie huenda wamefanya kitu kikubwa
 
Mbona kama wameigeza SAW?
Sijaona jipya sana zaidi ya mbwembwe nyingi, bongo filamu safari yao bado sana.
 
Mbona kama wameigeza SAW?
Sijaona jipya sana zaidi ya mbwembwe nyingi, bongo filamu safari yao bado sana.
Wamejitahidi.
Wabongo sisi tupo vizuri kwenye kukatishana tamaa.
 
Kuna movies za bongo hood. Zipo youtube. Naamini future yetu katika filamu kama taifa ingeanzia pale. Kuanzia Fisi Weusi, Mchepuko n.k.
 
Nadhani majibu ya maswali yako yote unayo wewe, unless otherwise hii ni njia yenu mpya ya marketing... (and if that's the case, KUDOS..)
 
Mbona kama wameigeza SAW?
Sijaona jipya sana zaidi ya mbwembwe nyingi, bongo filamu safari yao bado sana.
Yah hata mimi nilivyoona nimemwambia niliyekuwa naye hivvyo ila natamani kuona, maana makeup, shots kwa kibongo wameimprove lakini storyline nahisi itakuwa shallow
 
Nadhani majibu ya maswali yako yote unayo wewe, unless otherwise hii ni njia yenu mpya ya marketing... (and if that's the case, KUDOS..)
Dah wabongo bwana kwa kubahatisha, mimi siyo muigizaji na wala sina ushiriki nao hii kitu hata mimi nimeambiwa ndo nkaingia youtube kutazama trailer na kuamua kushare maana nimependa shots za humo. Mimi walau ninajua kuhusu kufanya online marketing, ningekuwa nafanya marketing hata nisingefanya kwa style hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…