Site kimara kilungule 5-7km kutoka morogoro road

Site kimara kilungule 5-7km kutoka morogoro road

TRACE

Senior Member
Joined
Jul 4, 2008
Posts
120
Reaction score
46
Habarini wandugu.Nilibahatika kununua site hapo Kimara Kilungule na sasa imenishinda kwani nimepata mawazo ya kutafuta makazi Kigamboni na ninaiuza kwa yeyote aliye tayari.Ina ukubwa wa mita 20 kwa 25.Haina hati.Ni tambarare kabisa.Bei ni kuanzia 10milioni mazungumzo yapo.Mwenye nia namkaribiasha.
 
Sababu za kuiuza
kwa ushauri mwema

itoe kwa kanisa lolote,hapo inaonekana hakuna kanisa karibu
mungu amekutumia wewe kueneza injili yake
 
vipi ile barabara ya kutoka Segerea,Bonyokwa mpaka Kimara haipiti hapo?
 
sababu za kukiuza kaka...umesema kimekushinda...kiaje?? usikute kinamatatizo mengine...
 
Mbona hakina hati mkuu? Serikali wamekataa kukupatia hati ama? Halmashauri wameshaona kuna uwezekano wa kupitisha Highway hapo au vipi?
 
Back
Top Bottom