Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Huyu kidagaa ni snitch sana kumbe,ukiona chawa wa bosi anakuwa mkali na mwenye roho mbaya ujue bosi wake hana kitu (Chapaa)
 
Mwanaumee km mwanaumee ktkt utafutaji tunapitiaa mengi sanaaa ,hapaa ninaposomaa uzii huu napitiaa magumu mpk naonaa ninachokisomaa kwa jamaa bado naonaa alipitiaa madogo maana yy bora hata alikuwa anakutanaa na binadamu Wanamsaidiaa mia mia mbiliii ,kuliko mm nilikutana na wanyamaa badala ya binadamu walitakaa kuniuaa nakunila kbs ,ila MUNGU acha aitwe MUNGU [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Wewe huna akili halafu ni bonge la chok0. Unakurupuka mno na hufikiri mbali. Kimo chako cha kufikiri ni mita 5 tu. Yaani ungekuwa rafiki yangu huo ulofa walah ungekutoka.
 
Andika vizuri.!
 
Punyeto inasababisha ukhanisi, acha kabisa.
 
ni aidha mleta simulizi hii ulikua mtoto wa mama sana laini laini kachori ama ulikua mzembe ulietaka kufunzwa na ulimwengu. chief ulimwengu hauna huruma..ukipewa one chance na ulinwengu use it right
So unamaanisha alikuwa lofa na more than 70% alijitakia hayo masaibu?

Ni chance ipi hiyo ambayo alipewa ns ulimwengu na hakuitumia vizuri.

Of course umeongea kama nilichohisi mimi.
 
Wewe huna akili halafu ni bonge la chok0. Unakurupuka mno na hufikiri mbali. Kimo chako cha kufikiri ni mita 5 tu. Yaani ungekuwa rafiki yangu huo ulofa walah ungekutoka.
Nafikiri tungeacha kum judge jamaa kwa sasa maana yupo katikati ya story na kuna vingi amejifunza hadi kuandika hii story

Ama kama unajiona una akili sana hamu sana basi subiri amalize story yote ndio umwambie
 
Note that, punyeto inasababisha ukhanisi, na wateja wengi wa vumbi la Congo ni madhara ya punyeto.

Kama una masikio sikia, ila kama ndio kusikia kwa kenge basi endelea madhara yake utayaona baadaye utakula kwa macho tu.
Kumbe ulishapiga ujanani na ukaacha! Basi nimeelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…