Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito


Usisikilize hao wanaokukatisha tamaa, endelea kutuletea simulizi yako! Nakuhakikishia hii inaweza kutengenezwa movie na ikakulipa balaa! So ukiendelea na simulizi mpaka mwisho kuna faida kubwa sana utapata! Unaweza shangaa mzee baba unapata connection ya Hollywood!! Karibu uendelee na simulizi. Tunasubili
 
Hiyo ya akili sina inaitwaje?ili tuachane na hili boya na kistory chake cha kubumba,anasusa susa kama mama mjamzito
Kak hyo ya mtu anajita Akili Sina Ni nyogo bonyeza hapo kwenye jina lako moja kwa moja nenda kweny post zake aise hutojuta kufahaumu hyo story very interesting snaa na haicuoshi kuliko ya mpayungu na kina kidagaa
 
Hahahahaaa
Daaaah!!!!!!!
 
Huyu nae utakuta NI baba wa familia...mwanaume unatikiswa kidogo tu UNASUSA,,HAYA SUSAAAAAA,na ukianzisha siledi tutakuandama hukohuko...ukija na aidi mpya tutakujua tu maana akili zako ziko KIDAGAADAGAA...
 
Mpwayungu Village vp!! Hebu tuendelee na sehemu ya 14!!!! Na hii Blue monday tukipata muendelezo itakuwa swadakta!! Mambo ya kususa ni ya kina dada!! Wanamme hatususi!! Twende kazi Mwanangu!!!... bilashaka utaitikia wito na kuanza kuporomosha life story yako kali sana!! I think It’s the best story ever narrated in JF.? Endelea sasa baadae tukatengeneze Movie Hollywood!!@MpwayunguVillage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…