Sitosahau!!

Engager

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
1,522
Reaction score
3,255
Sitosahau enzi hzo napga busness ya kuiba mfuta kwenye magari. Sku moja nikiwa kazn gari lililipuka puuu..., likawaka moto. Nilishka moto nikawaka HADI KUFA!, Nashkuru nilizikwa kwa wakti kbla sjaharibika.
 
Sitosahau enzi hzo napga busness ya kuiba mfuta kwenye magari. Sku moja nikiwa kazn gari lililipuka puuu..., likawaka moto. Nilishka moto nikawaka HADI KUFA!, Nashkuru nilizikwa kwa wakti kbla sjaharibika.
:alien:
 
ahaaa! Sasa mbona kabla ya jina lako hujatanguliza neno marehemu?
 
Sitosahau enzi hzo napga busness ya kuiba mfuta kwenye magari. Sku moja nikiwa kazn gari lililipuka puuu..., likawaka moto. Nilishka moto nikawaka HADI KUFA!, Nashkuru nilizikwa kwa wakti kbla sjaharibika.

...+..
 
Sitosahau enzi hzo napga busness ya kuiba mfuta kwenye magari. Sku moja nikiwa kazn gari lililipuka puuu..., likawaka moto. Nilishka moto nikawaka HADI KUFA!, Nashkuru nilizikwa kwa wakti kbla sjaharibika.

Kufa tu jambazi mkubwa
 
inaonekana kijana unataka kutupa taarifa kwamba kuna ndugu yako alikuwa mwizi wa mafuta akafa kwa kuungua na moto....point taken
 
Sitosahau enzi hzo napga busness ya kuiba mfuta kwenye magari. Sku moja nikiwa kazn gari lililipuka puuu..., likawaka moto. Nilishka moto nikawaka HADI KUFA!, Nashkuru nilizikwa kwa wakti kbla sjaharibika.

utaharibikia motoni, jambazi mkubwa we
 
hii inasibitisha kwamba mods wamejitahidi. JF inapatikana mpaka makaburini sasa. keep it up mods.
 
JF ya ukweli sana! Tunapata mpaka updates za marehemu!!
 
Reactions: amu
huyu anampango wa kukwiba mafuta kidizai sasa anahofu ya kurest in peace!!!usiogope we c jambaz bwana! iba uone chamoto izraeli anakusubiri kwenye tuta
 
Sitosahau enzi hzo napga busness ya kuiba mfuta kwenye magari. Sku moja nikiwa kazn gari lililipuka puuu..., likawaka moto. Nilishka moto nikawaka HADI KUFA!, Nashkuru nilizikwa kwa wakti kbla sjaharibika.

tokaaapa, vanpire.
 
"Sitosahau enzi hzo napga busness ya kuiba mfuta kwenye magari. Sku moja nikiwa kazn gari lililipuka puuu..., likawaka moto. Nilishka moto nikawaka HADI KUFA!, Nashkuru nilizikwa kwa wakti kbla sjaharibika."

sasa unamuadithia nani mungu au shetani?
 
Reactions: amu
Ahahahaaah!! Stori za mateja wakishapata ile kitu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…