kaburini
hii inasibitisha kwamba mods wamejitahidi. JF inapatikana mpaka makaburini sasa. keep it up mods.
Aisee nimecheka mpaka nimekufa[emoji16][emoji16]Sitosahau enzi hzo napga busness ya kuiba mfuta kwenye magari. Sku moja nikiwa kazn gari lililipuka puuu..., likawaka moto. Nilishka moto nikawaka HADI KUFA!, Nashkuru nilizikwa kwa wakti kbla sjaharibika.