Sitosahau

Hiki ni kitu cha uhalisia kabisa kuna nguvu inaishi dhidi ya binadamu.Hii ilishanitokea pia kuna bosi mzito tu na kiongozi ilitokea akaniheshimu sana na kuniamini mwisho wa siku Mungu alimwita na nimekuwa kama ndugu wa familia yao kwa yale nilofanya ktk watoto wake.Hongera sana kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…