Inawezekana Mzee alivyo sema alikuwa kapata wanzuki iliyowekewa anitbiotics zile zenye rangi mbili, kwa sababu wenye kuongoza ni serekali ya CCM, appointment za viongozi zinafanywa na serekal;i iliyo chini ya chichiemu, report za uchunguzi zikitoka zinakaliwa na serekali ya chichiemu, chichiemu inavikao vyake iwe cha halmashuri kuu au ya kamati kuu etc lakini hatukuwahi kuwasikia wakiliongelea hili suala au kulilaani, na kuwaadhibu wale wanachama wao waliohusika na hii kadhia.
Sasa leo wanataka kukimbia kivuli chao.
Pili hili suala la BOt lilifikishwa Bungeni, lakini wenzetu wakalipinga kisiasa ( kwa kuwa Chichiemu wako wengi Bungeni) badala ya kusikiliza hoja iliyowakilishwa. Na kinara wa ubabaishaji huu alikuwa Muheshimiwa Chupika wa Bunge Letu Haramu oh no tukufu.
Au yeye chupika na wenzie watuonyeshe juhudi walizo chukua kulipinga hili jambo, kama sio Donors, waliosema No msaada wala Nkopo mpaka tujue nini kilicho tokea BOT