Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501
Hatimaye mwenyekitiwa bunge Samwel Sitta amekutana na viongozi wa UKAWA na kuwaomba radhi kwa ubabe aliotaka kuutumia jana hatua iliyosababisha bunge jusambaratika na Warioba kushindwa kuwasilisha hotuba yake.
Sitta amewahakikishia viongozi wa UKAWA kuwa hatarudia tena tabia ya ubabe na atahakikisha anafanya nao makubaliano kabla ya kuchujua hatua yoyote ndani au nje ya bunge.
Aidha sitta pia amefuta semina ya siku moja ambayo watoa mada aliokuwa amewapanga kuja kuwafunda wajumbe kuhisu muungano ni Pius msekwa na Omar Ramadhan Mapuri.
Msekwa na Mapuri ndio watoa mada ambao sitta aliwaalika waje kuwafunda wajumbe qa bunge la katiba maswala ya muungano kwa madai kuwa wawili hao ndio magwiji wanaojua muungano kindakindaki.
Sasa wawili hao ambao tayari wapo hapa dodoma hawatakuwa na la kufanya licha ya semina inayowahusu Amos Wako wa Kenya itafanyika alhamis kama ilivyopangwa.
Sitta amewahakikishia viongozi wa UKAWA kuwa hatarudia tena tabia ya ubabe na atahakikisha anafanya nao makubaliano kabla ya kuchujua hatua yoyote ndani au nje ya bunge.
Aidha sitta pia amefuta semina ya siku moja ambayo watoa mada aliokuwa amewapanga kuja kuwafunda wajumbe kuhisu muungano ni Pius msekwa na Omar Ramadhan Mapuri.
Msekwa na Mapuri ndio watoa mada ambao sitta aliwaalika waje kuwafunda wajumbe qa bunge la katiba maswala ya muungano kwa madai kuwa wawili hao ndio magwiji wanaojua muungano kindakindaki.
Sasa wawili hao ambao tayari wapo hapa dodoma hawatakuwa na la kufanya licha ya semina inayowahusu Amos Wako wa Kenya itafanyika alhamis kama ilivyopangwa.