Sasa Richmonduli inawekwa mezani .
Vuta subira mkuu . Wameanza na maswali na majibu lakini Sitta lasema leo ngoma mezani.Katamka mwenyewe .Nami nangoja .Soma vyema utaona nimem quote akisema kwamba leo ni jambo zito liko mezani nami niko hapa .
Tanzania bwana! Jamaa anasoma report kubwa namna hiyo bila hata glass ya maji? Mtu anaweza kuanguka hivi hivi.
Mwakyembe anamwaga mapendekezo ili ngome watu wagawane sasa.