Hana ubavu huo, si walitaka kumnyan'ganya kadi akawalamba miguu.Na yeye alilitumia bunge kupata umaarufu, hizo ndio cost zake, wajanja wenzake wamemuwahi, asubiri huruma za JK kwenye uteuzi
Kuna tetesi kutoka kwa washkaji kutoka kanda ya kati kuwa kitendo cha 6 kuchakachuliwa uspika kimemuuma sana, habari zinasema kuwa anadai kuwa alichokuwa ameambiwa na EL kuwa hatakuwa Spika wa bunge la 10 limetimia.
Source hizo zinadai kuwa kwa sasa 6 yupo tayari kujiondoa chamani, na hatimaye uchaguzi wa jimbo la urambo kufanywa upya, ambapo yeye atagombea kupitia CHADEMA.
Kinachoendelea kule mjengoni ni kwamba 6 anampigia upatu Marando awe Spika wa bunge.
Hana ubavu huo, si walitaka kumnyan'ganya kadi akawalamba miguu.Na yeye alilitumia bunge kupata umaarufu, hizo ndio cost zake, wajanja wenzake wamemuwahi, asubiri huruma za JK kwenye uteuzi
Natamani sasa itokee japo ni vigumu kutokea kwa mbunge kufanya jambo la uzalendo badala ya kung'ang'ania maslahi. Hizi ni tetesi ambazo zinaweza kuwa kweli ama la!!
hapo atakuwa hana uzalendo bali hasira ya kukosa madaraka makubwa