Tambara Bovu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2007
- 585
- 141
KUBWA ZAIDI NI KUWA SINGLE MUDA MWINGI UNAISHIA KURUKARUKA KUTAFUTA SUNGURA................πππ
Jamani wa kulaumiwa hapa sio Simba. Kwanza ujue huu muswada uliletwa 2009 ukarudishwa kwa ajili ya marekebisho ukaletwa tena 2010. Huu muswada ulindaliwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama mara ya kwanza, ikarudishwa na kipindi hiki ikafanyiwa kazi na Kamati ya Sheria na Katiba. Kamati hizi ambazo pia ina wabunge wamepitia muswada huu na kuridhia na ndiyo maana S.Simba kaupeleka mezani bungeni. Pamoja na hayo cabinet pia ilipitia akiwepo JK mwenyewe au mwakilishi wake nao pia waliridhia upelekwe bungeni. Sasa kama hawa wote waliona sawa kwani lawama yote tumtwishe Simba leo? Lawama inabidi iende kwa wote waliohusika yaani kamati zote mbile na baraza la mawaziri. Isitoshe kipindi hiki wanataka marekebisho madogo ambayo ni kupunguza ukubwa wa baraza la usalama kutoka wajumbe 20 kuwa chini ya hapo (confidentiality reasons) halafu na pia kipengele kisomeke pia kuwa baraza litamshauri Rais (amiri jeshi mkuu) na siyo kuwa linakuwa la utendaji kama ilivyoletwa. Ni positive thinking ya wabunge na ni muhimu kuwapongeza kwa hilo lakini si kupeleka lawama kwa Simba bali kwa msururu wa wahusika wote!!! Wabunge wawe wangekuwa makini siku zote tusingekuwa na mikataba mibovu au sheria ambazo hazitekelezeki!!!!!!
Jamani wa kulaumiwa hapa sio Simba. Kwanza ujue huu muswada uliletwa 2009 ukarudishwa kwa ajili ya marekebisho ukaletwa tena 2010. Huu muswada ulindaliwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama mara ya kwanza, ikarudishwa na kipindi hiki ikafanyiwa kazi na Kamati ya Sheria na Katiba. Kamati hizi ambazo pia ina wabunge wamepitia muswada huu na kuridhia na ndiyo maana S.Simba kaupeleka mezani bungeni. Pamoja na hayo cabinet pia ilipitia akiwepo JK mwenyewe au mwakilishi wake nao pia waliridhia upelekwe bungeni. Sasa kama hawa wote waliona sawa kwani lawama yote tumtwishe Simba leo? Lawama inabidi iende kwa wote waliohusika yaani kamati zote mbile na baraza la mawaziri. Isitoshe kipindi hiki wanataka marekebisho madogo ambayo ni kupunguza ukubwa wa baraza la usalama kutoka wajumbe 20 kuwa chini ya hapo (confidentiality reasons) halafu na pia kipengele kisomeke pia kuwa baraza litamshauri Rais (amiri jeshi mkuu) na siyo kuwa linakuwa la utendaji kama ilivyoletwa. Ni positive thinking ya wabunge na ni muhimu kuwapongeza kwa hilo lakini si kupeleka lawama kwa Simba bali kwa msururu wa wahusika wote!!! Wabunge wawe wangekuwa makini siku zote tusingekuwa na mikataba mibovu au sheria ambazo hazitekelezeki!!!!!!
Wa kulaumiwa hapa ni AG sio mama SS. Wala SS hajailaumu ofisi ya Spika! Wahafidhina akina Ngwilizi, JSM wanaomini juu ya nguvu nyingi za Rais ndio waliotufikisha hapa.Mkuu analaumiwa yeye kwakuwa ndie aliyemlaumu Spika wakati yeye kama Waziri alitakiwa apitie.
Mh, how many first ladies do we have?? kuna mmoja ana maelfu post na mmoja ana 20... whassup!!!
firstlady
Join Date: Wed Dec 2007
Posts: 20
Thanks: 10
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
Re: Sitta ajibu Mapigo
Wa kulaumiwa hapa ni AG sio mama SS. Wala SS hajailaumu ofisi ya Spika! Wahafidhina akina Ngwilizi, JSM wanaomini juu ya nguvu nyingi za Rais ndio waliotufikisha hapa.
Ni kweli. Tafadhali isome tena post ya kwanza kabisa iliyoanzisha thread hii. Hakuna mahali SS ameilaumu ofisi ya Spika.Nadhani hatuko pamoja.
na Martin Malera
"Hata kama muswada huu ungeenda kwenye kamati yoyote bado usingepita kwa jinsi ulivyoletwa na sijui Waziri anayepeleka kitu kama hiki amefikiria vizuri maana ni wa hatari kweli," alisema Spika Sitta.
Hoja zangu!
Viongozi wakubwa Spika wa Bunge na Waziri mwenye dhamana kujibishana hivi,hivi huu ni Utawala Bora?kuna nii nyuma ya pazia?kwani hawawezi kukaa pamoja mpaka wajibizane kwenye media?hivi tutafika kweli?
Ni kweli. Tafadhali isome tena post ya kwanza kabisa iliyoanzisha thread hii. Hakuna mahali SS ameilaumu ofisi ya Spika.
Spika ananishangaza sana. Kwa ustandard na u-spidi wake, kumbe miaka yote miine ya JK alijua sofia simba anafikiri kabla ya kutenda wakati watanganyika wote wanajua she doen't think?
GenderSensitiv, What is utawala bora in TZ ikiwa waziri wa utawala bora doesn't think (according to Sitta) -does not either have or doesn't know how to use her common sense before acting???!!!!!!!
Ya jana tena! Lipi hasa nilitafute maktaba.Ulifuatilia vyombo vya habri vya jana?Soma magazeti ya jana utapata jibu.
Spika ananishangaza sana. Kwa ustandard na u-spidi wake, kumbe miaka yote miine ya JK alijua sofia simba anafikiri kabla ya kutenda wakati watanganyika wote wanajua she doen't think?
GenderSensitiv, What is utawala bora in TZ ikiwa waziri wa utawala bora doesn't think (according to Sitta) -does not either have or doesn't know how to use her common sense before acting???!!!!!!!
Mkuu hapo mimi sikubaliani na wewe..si kweli kwamba wanawake hawawezi kuongoza,anapokosea mwanamke mmoja hawamaanishi wote hawafai..mbona kuna viongozi wanaume wengi tu ambao wamefanya blanda?na mbona kuna viongozi wanawake wengi tu waliofanya vizuri?Nadhani tatizo hapa ni Sophia kama individual na sio ujinsia wake..You Know what am Gender Sensitive
Mama SS hayuko upande wa Spika Sitta. Kamati ya Katiba na Sheria alooiunda Spika Sitta iliupitia muswada huu. Ikaukubali uende Bungeni. Sitta hapa amewatukana wengi. Muswada ni mchakato jamani. unapitia mahali pengi tu kabla haujafika Bungeni.Spika ananishangaza sana. Kwa ustandard na u-spidi wake, kumbe miaka yote miine ya JK alijua sofia simba anafikiri kabla ya kutenda wakati watanganyika wote wanajua she doen't think?
GenderSensitiv, What is utawala bora in TZ ikiwa waziri wa utawala bora doesn't think (according to Sitta) -does not either have or doesn't know how to use her common sense before acting???!!!!!!!
Jamani wa kulaumiwa hapa sio Simba. Kwanza ujue huu muswada uliletwa 2009 ukarudishwa kwa ajili ya marekebisho ukaletwa tena 2010. Huu muswada ulindaliwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama mara ya kwanza, ikarudishwa na kipindi hiki ikafanyiwa kazi na Kamati ya Sheria na Katiba. Kamati hizi ambazo pia ina wabunge wamepitia muswada huu na kuridhia na ndiyo maana S.Simba kaupeleka mezani bungeni. Pamoja na hayo cabinet pia ilipitia akiwepo JK mwenyewe au mwakilishi wake nao pia waliridhia upelekwe bungeni. Sasa kama hawa wote waliona sawa kwani lawama yote tumtwishe Simba leo? Lawama inabidi iende kwa wote waliohusika yaani kamati zote mbile na baraza la mawaziri. Isitoshe kipindi hiki wanataka marekebisho madogo ambayo ni kupunguza ukubwa wa baraza la usalama kutoka wajumbe 20 kuwa chini ya hapo (confidentiality reasons) halafu na pia kipengele kisomeke pia kuwa baraza litamshauri Rais (amiri jeshi mkuu) na siyo kuwa linakuwa la utendaji kama ilivyoletwa. Ni positive thinking ya wabunge na ni muhimu kuwapongeza kwa hilo lakini si kupeleka lawama kwa Simba bali kwa msururu wa wahusika wote!!! Wabunge wawe wangekuwa makini siku zote tusingekuwa na mikataba mibovu au sheria ambazo hazitekelezeki!!!!!!
Mama SS hayuko upande wa Spika Sitta. Kamati ya Katiba na Sheria alooiunda Spika Sitta iliupitia muswada huu. Ikaukubali uende Bungeni. Sitta hapa amewatukana wengi. Muswada ni mchakato jamani. unapitia mahali pengi tu kabla haujafika Bungeni.
....Kwa Sofia na siasa za CCM,nataka ukubali yeye anawakilisha kundi kubwa la wanawake kwa kuzingatia yeye ndio mwenyekiti wa ccm wanawake.
So she is the best ever woman a CCM has.
Sorry Gender Sensitive that is opinion
Wild Card,Mnamwonea tu SS. Muswada ili ufike Bungeni ni mchakato mrefu. Wa kulaumiwa hasa ni AG kama kuna mapungufu. AG amejaribu kupunguza madaraka ya Rais kidogo tu wahafidhina akina Ngwilizi, Malecela wamemjia juu kwelikweli. Ngoja siku tukimpata Rais mchokozi au anayependa vita.