Sitta: Waziri Simba kalikoroga

Mkuu Shaycas
Hapa hatumjadili Sophia Simba kama Mwenyekti wa UWT ya CCM,tunamjadili kama Waziri...haina mahusiano na ujinsia wake.

haya mambo ni Logic tu, kama wanawake wote viongozi wamemchagua awe mkuu wao then wao ndo hawawezi, didnt they saw her as extremely low minded? ana majungu, kusema sema ovyo,nahisi hata ngumi anarushaga yule!so ni failure ya wanawake pia, si tunataka kama wanataka usawa leteni watu bora mbele!
 
Ndugu zangu,siasa za Tanzania haziangalii Capacity ya mtu hapa namaanisha uwezo wa kiakili.Kinachozingatiwa ni je mtandao wako ukoje!jina lako likoje!ndio maana hatuna Viongozi ambao ni Think Tanks...Unapewa dhamana ya kuongoza Wizara au taasisi fulani si kwakuwa una uwezo bali kwa vigezo vingine kabisa..Sophia kuwa Mwenyekiti wa UWT haimanishi kwamba yeye ndio the best,nadhani mnazitambua siasa za nchi hii,mara nyingi ni hovyo sana..wapiga kura nao ni hovyo pia,hawaangalii uwezo wa mtu wanayakwao wanayoyataka,ndivyo ilivyokuwa kwa Sophia alipogombea UWT.
 
Sophia Simba hafai hata kuwa Mwenyekiti wa UWT sio Uwaziri pekee
 

Mimi siko kumlaumu SS wala spika ila ninachotaka kusema ni kuwa angalau sasa bunge limeanza kufanyakazi yake kwa angalau asilimia 20 (20%) ya vile linavyotakiwa kuwa

Haya tunayoyaona toka bungeni yalikuwa nadra sana kutokea siku za nyuma mambo yalikuwa yakimalizwa nyuma ya pazia na kamati za CCM kabla ya kuletwa kupigwa muhuri tu bungeni.

I like this: sijui Waziri anayepeleka kitu kama hiki amefikiria vizuri and this; kama watauona haufai, wanaweza wakauacha kabisa
 

Hii ni faida ya kuwa na strong opposition..haya ni matunda ya kina Dk Slaa,Zitto na wengineo wa Upinzani.
 
Hii ni faida ya kuwa na strong opposition..haya ni matunda ya kina Dk Slaa,Zitto na wengineo wa Upinzani.

It is true ukiongeza na sera ya Chadema ya ufisadi ndiyo inayoisambaratisha CCM mapande mapande
 
Mpaka sasa sijaeleweshwa huu muswada ubovu wake ni nini.

Kama national security council mbona mpaka US wanayo, tatizo hasa ni nini? Kumpunguzia madaraka rais?
 
..huu mjadala usije ukawa muendelezo wa malumbano yaliyotokea ktk kamati ya CCM inayoongozwa na Raisi Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.

..naona Mwanasheria Mkuu anaelezea kitu tofauti kabisa na jinsi waandishi wa habari wanavyoeleza.

..tatizo hakuna waandishi wa habari walio-specialize ktk masuala ya Bunge kuweza kuuchambua mswaada na kuuelimisha umma.

..

 
Ukiona moshi jua kuna moto. Mwisho tutajua japo tukiwa tumeungua nani anatumikia Watz na nani anatumikia tumbo lake
 
kwanini Mkubwa kazimika na huyu mama? tujadili
 

Chizi lakini kapewa rungu sasa usipomkemea atadhuru wengi. Sita anabisha na nafasi ya Waziri iliyopeleka muswada ambayo imekaliwa na huyo unayesema chizi.
 


Joka Kuu,

Mimi nimeuliza takriban mara tatu sasa hivi.

Jamani, muswada wa kumpunguzia rais madaraka una ubaya gani? Nauliza genuinely kama mtu asiye na details za muswada anayetaka kuelimishwa ubaya wake nini.

Si kila siku tumekuwa tukipiga kelele kwamba moja ya matatizo yetu ni kwamba rais ana madaraka makubwa sana?

Sasa zaidi ya kusikia hii mantra ya boilerplate kwamba "ni hatari kwa usalama wa taifa" bila details hatari ipo wapi? Kutakuwa na constitutional crisis? Kivipi? Kwa nini rais asipunguziwe madaraka? Akipunguziwa tunaweza kupatwa na jaa gani? Mbona nchi nyingine zimeweza? Kuna models za serikali ambazo hata amiri jeshi mkuu si rais/ head of state.

Sijapata jibu, kila nikosma naona catch-phrases zao, "usalama wa taifa" etc etc.Tukumbuke gia hii ya "usalama wa taifa" ndiyo hii hii ilipitisha uchafu wa Mreremeta na EPA.

Mimi nataka details, muswada una mapungufu gani? Sio mnasema tu "miuswada haukuandaliwa vizuri" "umeandaliwa kitoto" details details please.

Au hata details zao ni swala la usalama wa taifa?

Kwamba kama England ya Henry VIII, aliyekuwa haruhusiwi hata kwenda msibani kwa sababu akienda msibani watu wa England wata perceive kifo cha mfalme, which amounts to treason, hata sababu za kwa nini huu muswada ni mwiko on grounds of usalama wa taifa haziwezi kusemwa, less they give some people ideas?

How medieval of us !
 
mzee Malecela alisema aombewe watu wakabisha yawezekana bado ubongo wake una matatizo huyu eee?
 
- Jamani wenye huo mswaada watusaidie tuuchambue hapa, au? Maana Rais wangu Dr. Slaa hawezi kutaka Sophia afukuzwe uwaziri kwa kutaka kupunguza madaraka ya Rais wa CCM, haingii akilini dawa wenye huo mswaada wauweke hapa, tukate mzizi wa fitina, au?

Respect.


FMEs!
 
Unadhani hajamsikia Sheikh Ubwabwa Yahya?

Ah hana lolote yule tapeli mkubwa anayewaaibisha waislamu. Angelikuwa yeye mtabiri wa kweli abashiri yeye atakufa lini na sio kutishia wenzie. Mie bwana safari namsupport rais ambaye msomi na makini wa kazi. Ndani ya CCM kwakweli namuona ni magufuli na mwandosya ndio wanafaa wengine wote makelele mengi. Wakiwa hawawezi wawape akina Lipumba na Slaa tunahitaji umakini katika uongozi
 
Huyu waziri ni balaa,ebu fuatilieni alivyofanya Loleza sekondari last week- shameful ++++????
analazimisha mtoto wa jirani yake arudishwe shule wakati anatumikia adhabu, kwa kudai yeye ndie waziri pekee aliye na ofisi kivukoni karibu kabisa na mkulu ,nani anababisha-JK toa aibu ya mama huyu akaimbe mipasho na mzee yusuph?????ovyooo?????????
jamani naogopa cctv.ningesema mengi.
 
i will be so puzzled, mwaka huu, huyu SS atakapo teuliwa kuwa waziri again.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…