Sitter services available

narikuu

Senior Member
Joined
Jun 23, 2023
Posts
132
Reaction score
187
Eid Mubarak wanajamvi

Tunatoa huduma ya kuangalia
-watoto pale muhusika atapokua amepata dharura, safari au Sababu nyingine yeyote
-wagonjwa na wazee Kwa Sababu yeyote Ile

Note; huduma zetu Ni temporarily
Bei Ni maelewano kutokana na uzito Wa Kazi

Mwenye uhitaji piga 0713009695
Tupo Dar es Salaam Tanzania karibuni sana
 
Je Watoa huduma;
• Wanao ujuzi wa hiyo kazi.
  • Umri wao na Jinsia.
  • Huyo atakayepatiwa huduma mnakuwa nae kituoni/ofisini kwenu au nyumbani kwa mteja.
  • Au kwa wagonjwa au Wazee..mnayo clinic ya kutolea huduma ya Afya.
  • Je huduma yenu imesajiliwa.
 
Je Watoa huduma;
• Wanao ujuzi wa hiyo kazi.
  • Umri wao na Jinsia.
  • Huyo atakayepatiwa huduma mnakuwa nae kituoni/ofisini kwenu au nyumbani kwa mteja.
  • Au kwa wagonjwa au Wazee..mnayo clinic ya kutolea huduma ya Afya.
  • Je huduma yenu imesajiliwa.
Ndio Nina ujuzi Wa Kazi
Miaka 25 and above jinsia ke
Huduma inatolewa nyumbani Kwa mteja na sio permanent Ni temporary
 
Reactions: BRN
Alafu sio kampuni Ni Mimi binafsi natoa na bado nashuhulikia usajili Kwa sasa
 
Reactions: BRN
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…