LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Ningekuwa Sitti Mtemvu ningefanya kama alivyo fanya Tupac Shakur mwaka 1996. Baada ya kuhofia usalama wa maisha yake Tupac Shakur aliamua kufuata ushauri wa Niccolo Machiaveli kwa kufake death, na kwenda huko nchini Cuba ambako anaishi mpaka sasa....
Sitti asi fake death, but afake ugonjwa, azuge amepatwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia ambayo yatamfanya ashindwe kutimiza majukumu yake kama Miss Tanzania na hivyo kuhitajika kupata mapumziko ya muda mrefu.
Taji likabidhiwe kwa mshindi wa pili. Yeye (Sitti) arudi zake Marekani akaendelee na masomo ya juu zaidi na kufanya mambo mengine. Baaada ya mwaka mwaka mmoja, watanzania watakuwa wamesha sahau na anaweza kuendelea na maisha yake kama kawaida.
Sitti asi fake death, but afake ugonjwa, azuge amepatwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia ambayo yatamfanya ashindwe kutimiza majukumu yake kama Miss Tanzania na hivyo kuhitajika kupata mapumziko ya muda mrefu.
Taji likabidhiwe kwa mshindi wa pili. Yeye (Sitti) arudi zake Marekani akaendelee na masomo ya juu zaidi na kufanya mambo mengine. Baaada ya mwaka mwaka mmoja, watanzania watakuwa wamesha sahau na anaweza kuendelea na maisha yake kama kawaida.