Sitti Mtemvu ajivua taji la Miss Tanzania

Kama kweli kajivua basi ataje umri wake sahihi sasa. Na kama ana mtoto amwombe msamaha kwa kumkana.
 
Huyu Sitti dharau dharau, ila sio mjanja wala hakuwa na akili za kujipanga kudanganya.

Sasa tumefurahia haswa karudisha taji la wa Tanzania.

Eti "ISIWE SHIDA SANA KWANI SITEGEMEI TAJI HILI KUISHI"

eeh umepatikana inaonyesha ulilitegemea sana kuishi sasa rudisha pesa za ushindi na acha kujidanganya tunajua pesa zimeenda bure za kuonga mlizitegemea mpate mara 1000 back kwa ufisadi.

Haya tulia ulale omba Mungu as na huko USA usije ukawa umeharibiwa na Polisi watakufungulia kesi.... Rudisha pesa usizile.

Tunasubiri na hili liwe onyo kwa wanaobeba jina la nchi yetu.
 
Bora tu mana kaumbuka alifoji vyeti akafikiri Watanzania wa sasa ni waenzi ya mwalimu na iwe fundisho
 
Hii nchi kila kitu kinapelekwa ki mizengwe mizengwe na mbaya zaidi hufanyika mchana kweupee kabla hata ya watoto kwenda kulala
 
Asikwepe, km anajivua basi akiri umri wake na amkubali mwanae
 
Habari za jion Watanzania wenzangu,kutokana na kuwa nimekuwa nikisemwa sana,maneno mengi yasiyo na tija juu ya ili taji la Umiss Tanzania 2014 mpaka kupelekea nisiwe na amani na uhuru ndani ya nchi yangu Tanzania,kwa roho safi nimeamua mwenye kujivua taji hilo na kuacha wanayeona anastahili taji hili apewe ili niendelee na maisha yangu kwa amani,isiwe shida sana kwani sitegemi taji hili ili kuishi
HIVI NDIVYO ALIVYOPOST KWENYE WALL YAKE FB..FEW MINUTES PAST



#kazi kwake sasa Lundenga
 
Ujumbe wake wa FB anaonyesha kama vile ameonewa. Passport haiwezi kuonyesha umezaliwa mwaka 1989 harafu cheti kipya kinaibulka kwamba umezaliwa mwaka 1991 na watu ''wasikuseme sana kwa maneno mengi yasiyo na tija''
 
Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! kwendraaaaaaaaaaaaaaaaa Murongo Mkubwa wewe !
 
Ok!!pole lkn siku nyingine usirudie tena kuhadaa watu..weka kila kitu wazi nawe utakuwa huru daima..wasalimie temeke..
 
Antiy pole sana usihuzunike wala usisikiteke ni majaliwa ya mungu na kila kitu kina kheri yake ndani yake na hikma kidogo ni bora nusu sharii koliko shari kamili na hasa hii fb ndo imezidi mno kwa kila aina ya ufitna uhasad na wamo wa roho kutu na vikorosho tena wachochezii kibaao utasema wana lepwa posho na hiyo mitusi ndo usiseme hadi mbingu saba haya sasa naona roho zao ni nyeupeee tena hao huwa hawajitambui wala hawajijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…