Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Duh! Kwa mtindo huu hata kinyambe atakua na "special thread yake"
Hahahaa eeeh haitafika comments hata mia natabiri tu
Nini mia,hata ishirini hazifiki.Hii yangu ndio ya mwisho....
Teh teh teh
Hapo hapo Nina maswali, je mashindano ya unmiss kwa vitongoji na Mkoa yatafanyika mwaka huu? Sababu miss Tz imefungiwa miaka 2 na serikali
Majungu si mtaji
Duh! Kwa mtindo huu hata kinyambe atakua na "special thread yake"
wala si majungu labda hujaelewa lengo la mleta thread! Sitti alifanya makosa ambayo kisheria alipaswa kupelekwa mahakamani ila bahati mbaya hili suala linakuwa kama linafunikwa flani hiv so jamaa kaamua kuamsha mjadala.
Huyu sitti namzimia kweli kweli yani
hata mimi namzimia sana