Sitti Mtemvu kafuata ushauri wangu

1.) Wapi wamesema anaumwa?
2.) Hatujaelezwa katoweka kwa maana ipi, hapokei simu au haonekani mtaani, kajifungia huko marekani?

....??!
 
1.) Wapi wamesema anaumwa?
2.) Hatujaelezwa katoweka kwa maana ipi, hapokei simu au haonekani mtaani, kajifungia huko marekani?

....??!

Inamaana anaweza kwenda marekani akiwa na hizi nyaraka feki?
 
Wamesemaje hapo mkuu,natumia simu maandishi madogo nashindwa kuyasoma.

Vengu kapewa nyumba ya ml.120 na ataanza kuonekana tena kwenye orijino komedi. ..hiyo hapo kwenye picha ni mfano tu wa nyumba kama aliyopewa Vengu...ila usiamini shoga si unamjua shigongo tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…