Siuzi maziwa ya mbuzi wa kienyeji

Siuzi maziwa ya mbuzi wa kienyeji

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088

Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya biashara hii, lakini kwa sasa nimeachana nayo.

Nimejaribu kuwaambia JamiiForums waufute Uzi wa mwaka 2021 lakini hajaufuta, Na kuleta hali ya sintofahamu.

Umma wa Watanzania naomba ieleweke kwamba kwa sasa siuzi maziwa ya mbuzi, wala usitume hela kwa namba yoyote kati ya hizo mbili, kwani sizitumii kwa sasa.

Asanteni sana kwa kunielewa.
Sawa ndugu .
 
Back
Top Bottom