ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,118
- 1,430
Hivi unachaguaji kocha ambae mawasiliano na wachezaji unakua mgumu?
Kocha anajua kuzungumza kiarabu na kifaransa tu, wakati wachezaji wako wanaelewa Kiswahili, English(kama wapo) na wachache wanaongea kifaransa, vipi hapa wataelewana vizuri kupitia wakalimani ambao nao ni wachezaji?
Hivi kweli waliwaza vyema katika hili?
Wakipata matokeo mabovu wataanza kutafuta wa kymlaumu.
Kocha anajua kuzungumza kiarabu na kifaransa tu, wakati wachezaji wako wanaelewa Kiswahili, English(kama wapo) na wachache wanaongea kifaransa, vipi hapa wataelewana vizuri kupitia wakalimani ambao nao ni wachezaji?
Hivi kweli waliwaza vyema katika hili?
Wakipata matokeo mabovu wataanza kutafuta wa kymlaumu.