Siwaelewi Yanga katika uchaguaji wa kocha

ZINDAGI

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2015
Posts
1,118
Reaction score
1,430
Hivi unachaguaji kocha ambae mawasiliano na wachezaji unakua mgumu?

Kocha anajua kuzungumza kiarabu na kifaransa tu, wakati wachezaji wako wanaelewa Kiswahili, English(kama wapo) na wachache wanaongea kifaransa, vipi hapa wataelewana vizuri kupitia wakalimani ambao nao ni wachezaji?

Hivi kweli waliwaza vyema katika hili?

Wakipata matokeo mabovu wataanza kutafuta wa kymlaumu.
 
GSM anaihujumu yanga mkatae mkubali ndo hivyo
 
Ukweli mchungu tunajua kabisa IQ na upokeaji wa maelekezo kwa kocha kwa wachezaji wengne wa kitanzania na afrika wagumu Sana kuelewa bado wanawaongezea wachezaji mzgo wa kuelewa

Aliyeturoga yanga amekufa kwakweli

GSM siyo watu wazuri
 
Hizo lugha ulizozitaja ndy lugha kubwa duniani.

Sasa kama mchezaji hajuwi moja wapo ya lugha hizo hakika yeye ndy tatizo.

Mnapaswa mtafute kocha msaidizi mzawa ambaye atakuwa anachukuwa maelekezo kwa kocha mkuu.

Mkitaka kocha awe anajuwa kiswahili pekee basi mrudisheni Minziro.

Na muache kusajili wachezaji wakigeni.
 
Yanga ni kama sigara kali tuu ....[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…