Siwaoni wana jukwaa hawa tokea mwaka huu uanze wa 2021, haikuwa kawaida yao, je wako wapi?.

Siwaoni wana jukwaa hawa tokea mwaka huu uanze wa 2021, haikuwa kawaida yao, je wako wapi?.

Course Coordinator

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2019
Posts
1,742
Reaction score
3,224
Bila shaka hamjambo.

Kabla tumshukuru Mwenyezi MUNGU kwa kutupatia uhai na pumzi yake bado tungalipo.
Bado dunia inahangaika na covid-19 ,Tanzania ni miongoni mwa nchi hizo ,japo sisi tunapambana na ugonjwa wa kupumua,jana nilivyomuona Dr.Mpango ndo nikajua mhhh huo ugonjwa ni shida...chukua hatua.

Kuna baadhi ya wadau tangu mwaka huu uanze sijawaona kabisa ndani ya jukwaa hili waki-post wala ku-comment sio kawaida yao kama ilivyozoeleka ,ukiandika uzi wako kama sio kuja kuupinga ni kukutukana.

1.Getamancyne
Huyu jamaa ni MATAGA kindakindaki kazi yake kubwahumu ilikuwa kuwazoda au kuwatukana wapinzani hasa akina Mbowe,siku hizi simuoni kabisa amemwachia hiyo kazi Johnthebaptist ,japo huwa ana balance post zake mrengo wa kulia 80% na mrengo wa kushoto 20%.

2.Magonjwa Mtambuka.

Sina kumbukumbu kama aliwa ku-post nyuz yoyote humu jukwaani,kazi yake ilikuwa ni ku-reply au -ku-comment kwemye nyuzi za watu wengine ,sasa kutukana Great thinker, uwezo wa kung'amua jambo ulikuwa mdogo sana,yeye kilichokuwa kina mbeba ni 24 hour to 7 days hewani hakosi,kuja kwenye post yako na kutukana ila tokea mwaka huu uanze sijamuona kwenye ku-reply nyuz yoyote humu jukwaani

3.Paskali Mayala

Mmoja mwa wana Jukwaa ambao past zake nyingi huwa zinaibua maswali,wengine tukimuita msemaji wa serikali nje ya serikali,simuoni humu jukwaani sasa tangu mwaka huu sijajua kilichomsibu huko alipo,nakumbuka tu neno lake "Karma is real".

4.Faiza Foxy

Mwana mama pendwa katika jukwaa hili ,mwanamama huyu pia nina siku nyingi sijamsikia huwa sio kawaida kutokuingia humu jukwaani mara kwa mara.

Ukimuacha Paskali Mayala ambae ni Verfied member humu wengine ukimya wao unaweza ukatutia mashaka kidogo ,najizua kusema.

Leo nimewakumbuka hawa wana jukwaa kwa post zao za kuelemisha haswa za Paskal,Faiza Foxy,pia nawamis MATAGA kindakindaki Gerntamanycine na Magonjwa popote mlipo Mwenyezi Mungu aendelee kuwarehemu.

Je kuna unaemkumbuka katika jukwaa hili pendwa linalotukutanisha known and uknown person (verfied vs unverified member )
Karibu.
 
Kuna Mzee mwenzangu anaitwa Mzee mwanakijiji Yuko kimya Sana siku hizi
 

#thread yake ya mwisho aliandika agust 30 2020.
 
Genta yupo, huyo Magonjwa ni Kijani ambao mara nyingi hawana ID moja kwa hiyo wakipotea hatuogopi sana. Huyo Paskali ni mtu mkubwa chochote cha tofauti kuhusu yeye tungeambiwa hapa JF. Bibi wa mwandiko amepotea siku nyingi sana na sijui kama ana marafiki wanaomjua humu kama baadhi ya magwiji wanavyofanya.
 
1:Mayalla kasusa baada ya kujipendekeza kwa kipindi kirefu akitegemea kupata uteuzi.

Alichofanikiwa ni kurudishiwa press card yake tu wakamtupa jalalani.

2:Wakudadavua yupo hapa Chunya Mkwajuni amefungua saloon mara baada tu ya kupigwa chini baada ya kuwa ametumika kama vile chai ya asubuhi.

3:Fayza Fox yupo msoga anapalilia mihogo maana upepo wa kuanzia 2015 haupo upande wake maana ana allergy ya alama ya msalaba.
 
Genta yupo, huyo Magonjwa ni Kijani ambao mara nyingi hawana ID moja kwa hiyo wakipotea hatuogopi sana. Huyo Paskali ni mtu mkubwa chochote cha tofauti kuhusu yeye tungeambiwa hapa JF. Bibi wa mwandiko amepotea siku nyingi sana na sijui kama ana marafiki wanaomjua humu kama baadhi ya magwiji wanavyofanya.
Kuna ID moja huwa naifananisha na Bibi naendelea kufanyia kazi maana inasifa zote. Utamuona tu siku akirudi mwanaCCM mwenye imani za mashariki ya kati. Haungi Mkono juhudi na huwezi kupinga, alianza mwanzoni baadae akaona ale kona
 
Genta amekula ban ndefu,ila ameongoka anatumia ID nyingine ila sitaitaja ili nisije pigwa kitofa na mimi.
Daaa umenikumbusha Ban ndefu aisee nilipigwa ya miezi 6 hadi nilichanganyikiwa
 
Ama kweli ukiugua kichaa siku moja moja hauwachi kufanya vituko!
1:Mayalla kasusa baada ya kujipendekeza kwa kipindi kirefu akitegemea kupata uteuzi.

Alichofanikiwa ni kurudishiwa press card yake tu wakamtupa jalalani.

2:Wakudadavua yupo hapa Chunya Mkwajuni amefungua saloon mara baada tu ya kupigwa chini baada ya kuwa ametumika kama vile chai ya asubuhi.

3:Fayza Fox yupo msoga anapalilia mihogo maana upepo wa kuanzia 2015 haupo upande wake maana ana allergy ya alama ya msalaba.
 
Back
Top Bottom