Siwezi kuacha kulamba sukari

bhabkhan

Member
Joined
Dec 22, 2022
Posts
30
Reaction score
67
Habari zenu wana JamiiForums,

Mm ni kijana miaka 22 , kuna katabia ninacho nahisi kama ni tabia hasi hivi. Nikiona dumu la asali tu mate yananitoka, hadi inafika wakati nikiona asali home najimiminia kwenye chupa nakaa nalo chumbani na ni mwendo wa kulamba tu.

Mwenye kujua, je haina madhara matumizi ya asali kupitiliza? Maana kuacha uongo
 
Hakuna shida kabisa kuna kipindi kitafika hamu itakata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…