sasa wewe unataka nyingi kwani ugali huo. inategea na hilo moja unatumia muda gani, mwezio mimi nikikutana na mama ako mdogo hapa huwa ni kimoja tu, sasa uliza hicho kimoja kinatumia muda gani, wacha wewe, hata upige vinne hujanifikia. mama ako mdogo akitoka hapo, hoi kama kaanguka kwenye mnazi. Sasa wewe unataka upige vinne ndani ya nusu saa? wapi starehe sasa? hayo ni mambo ya vijana bwana, unataka ujionyeshe fuundi, rijaaali. unataka vitatu alafu unashindia mihogo ya kukaanga pale feri. alafu kwani mashindano au unamkomoa huyo msichana? au cha wizi unajua hutopata tena, mpaka likizo nyingine ndo umuone, 3 month?. KALAGABAHO