Six ways men can escape poverty

We really need to do much more than what we are doing now. We are supposed to be so selective who to partner with, be it in marriage, business, education or any other en devour. We need to work hard, think positively, value ourselves etc. Thank you for the educative post.
 
Thank you
 
There are no wowen can help you for any idea of development before your marry her. Who is a right women? Right women is give you /push to any development when your together.
 
droney Thank You So much.
 
Thank you very much for the big lesson. Absolutely brilliant
 
very wise advice!
 
Yaani nipo pekee yangu sioni mentor wa kuniongoza au kunishauri, waliofanikiwa ni wabinafsi sana na hawataki ukaribu wao busy busy tu na hawapendi wengine tutoke, binafsi najitahidi kuwa mentor ya walio chini yangu.

Najitahidi kusoma mafanikio ya waliotangulia na kufanikiwa.

Sijui namna nyingine ya kuwa mentored ni ipi?
 
Inategemea aina ya mentor unayemtaka wewe ni yupi? Niliwahi soma mahali kuwa "asilimia kubwa ya watu hufeli sababu macho yao yote wanayaelekeza kwa watu waluofanikiwa na kuwaacha ambao hawajafanikiwa"
Anza kuorodhesha mambo yote especially lile lengo kubwa la muda mfupi na muda mrefu unalotaka kulifikia kisha ligawe sehemu mbili. Moja tafuta mentor mwenye mafanikio katika sector hiyo, ukichemka kabisa njoo PM nikuconnect na watu wanaofahamiana na mamentor wakubwa. Then upande wa pili weka kama personal research yako both kwa waluofanikiwa na walioshindwa then ainisha kwanini watu hawa hawakufikia lengo ilihali hawa walifikia, fanya hiyo research for like 3 months deeply soma sana vitabu na kutana na watu tofauti tofauti wenye mantiki epuka watu mizigo katika maisha yako means hawana maana then utashangaa mwenyewe mambo yatakavyoanza kujipanga.... Ua lenye mvuto daima huvutia nyuki ila nzi huvutika zaidi na harufu mbaya...so choice ni yako kuvutia nyuki wa asali au kuvutia nzi....
There's a strong say "if you don't know where you are going then any road can take you there" the question is "do you know where you are going?"
Mchana mwema mkuu
 
With faith in Allah time and hardworking plus prayers they surely do the work
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…