Siyapati mawimbi ya Radio Madam FM ya Wema Sepetu

Siyapati mawimbi ya Radio Madam FM ya Wema Sepetu

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Habari zenu wanajukwaa.

Niende madani hapo juu. Madam Wema Sepetu, binti asiyechuja wala kukaukiwa matukio, aliahidi kuanzisha kituo cha Radio cha Madam FM ifikapo mwezi wa pili 2017. Ahadi hii ya Radio ya kutuburudisha aliitoa mwenyewe mwaka Jana.

Kwa muda mrefu huku kwetu Koromije nimekuwa nikiyasaka mawimbi ya Radio hii tangu mwezi February nipate uhondo wa vipindi vya Radio mpya lakini siyapati zaidi ya kuambulia vituo vingine vya FM. Mwenye kujua masafa yake anijuze.
 
Mbona yanapatikana na dj ziro ndio yuko mitamboni
 
Aisee.... Radio yake imefifia kabla haijaanzishwa...... Labda plan yake ilikuwa atoe kitu apewe station lakini haikufanikiwa...
 
Habari zenu wanajukwaa. Niende madani hapo juu. Madam Wema Sepetu, binti asiyechuja wala kukaukiwa matukio, aliahidi kuanzisha kituo cha Radio cha Madam FM ifikapo mwezi wa pili 2017. Ahadi hii ya Radio ya kutuburudisha aliitoa mwenyewe mwaka Jana. Kwa muda mrefu huku kwetu Koromije nimekuwa nikiyasaka mawimbi ya Radio hii tangu mwezi February nipate uhondo wa vipindi vya Radio mpya lakini siyapati zaidi ya kuambulia vituo vingine vya FM. Mwenye kujua masafa yake anijuze.
Dada umeolewa?
 
Habari zenu wanajukwaa. Niende madani hapo juu. Madam Wema Sepetu, binti asiyechuja wala kukaukiwa matukio, aliahidi kuanzisha kituo cha Radio cha Madam FM ifikapo mwezi wa pili 2017. Ahadi hii ya Radio ya kutuburudisha aliitoa mwenyewe mwaka Jana. Kwa muda mrefu huku kwetu Koromije nimekuwa nikiyasaka mawimbi ya Radio hii tangu mwezi February nipate uhondo wa vipindi vya Radio mpya lakini siyapati zaidi ya kuambulia vituo vingine vya FM. Mwenye kujua masafa yake anijuze.
Kumbe ni kosa lako.....
Ahadi ya Wema ilikuwa ni kuanzisha redio mwezi April 2017......sasa cha ajabu wewe umeanza kuitafuta mwezi February 2017! Huoni kama ulijichanganya?
 
Habari zenu wanajukwaa. Niende madani hapo juu. Madam Wema Sepetu, binti asiyechuja wala kukaukiwa matukio, aliaeediohidi kuanzisha kituo cha Radio cha Madam FM ifikapo mwezi wa pili 2017. Ahadi hii ya Radio ya kutuburudisha aliitoa mwenyewe mwaka Jana. Kwa muda mrefu huku kwetu Koromije nimekuwa nikiyasaka mawimbi ya Radio hii tangu mwezi February nipate uhondo wa vipindi vya Radio mpya lakini siyapati zaidi ya kuambulia vituo vingine vya FM. Mwenye kujua masafa yake anijuze.
Pa kuishi hana,ataweza vipi kuanzisha redio
 
Back
Top Bottom