njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hahahaha ayaaaa umenistukia aiseee...haya back to the matter sasa,kuna mbwa albino kweli?Jemedari unateseka sana. Tangu upigwe kile kijembe cha kuvaa kanzu chafu na yeboyebo, akili yako haijatulia kabisa.
kutaniana na nani? na sope? kuna mtu anatanianiana na lile DUBWASHA, ni kata mti panda mti ndiyo maisha aliyoyachagua kupata pesa za kuishi na sisi tunamsaidiaMmekosa vya kutaniana mpaka mnafika uko
mbwa huyu juani anaweza kukaa?maana zeru square haliwezi kabisaHii inathibitisha ukweli kuwa mashabaki wa Simba ni mbumbumbuView attachment 2354087
Takadini mwenyewe kasema aitwe mbwaMmekosa vya kutaniana mpaka mnafika uko
Dubwasha hilo linaishi kwa fitna na uchonganishi na michezo iliyokatazwa kwenye vitabu vya diniTakadini mwenyewe kasema aitwe mbwa View attachment 2354256View attachment 2354257
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Muulize Sope aliyesema aitwe mbwa kama Simba ikishindaUshabiki wa aina hii haufai.. sijui mnanufaika na nini Kwa kufanya hivi, au inawapa furaha Kwa kufanya hivi[emoji848][emoji848][emoji848]
Kwaio hapo wewe umefurahi mkuu?? Mambo mengine ni kujiaibishaMuulize Sope aliyesema aitwe mbwa kama Simba ikishinda
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
hivi unajielewa hata unachoandika? unazungumzia ustaarabu kwenye issue za takadini, mwenzako kutukananana kudhalilishana ndiyo style inayomueka mjini kama akijibiwa hivi anafurahi sana na kupata morali ya kutukana zaidi, cha kushangaza wewe unasikitikaKwaio hapo wewe umefurahi mkuu?? Mambo mengine ni kujiaibisha
Wewe ndiye unajiabisha kutaka kumtetea mtu ambaye matusi na kejeli ni sehemu ya maisha yake. Ungeoneka zimo kama ungeanza kumkemea huyu msemaji wenu,yaani yeye achokoze watu wamchekee tu.Kwaio hapo wewe umefurahi mkuu?? Mambo mengine ni kujiaibisha