Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 402
Leo nataka niwaunge mkono wanawake katika harakati zao za kujikomboa na mfumo dume. Hivi kwa nini wanaume tunapenda kuwa juu kwa kila jambo?? Ni juu juu juu tu kila jambo. Mmhhh, siyo fair jamani inafika mahali wanachoka. Ebu tuwape nafasi na wenzetu.
well saidhata maandiko ya Mungu yanasema Mwanaume ni kichwa cha familia/nyumba. tusiende kinyume na maandiko ya Mungu.
Muumba wetu ndio alietuweka wanaume juu....... Mwanaume utakula kwa jasho, mwanamke atazaa kwa uchungu....... FYI, biblia inakuambia Adam na Hawa walizaa watoto watatu, wote ni vidume - unafikiri hiyo couple haikuwa na watoto wa kike? Walikuwepo lkn hata Bible haimtambui mwanamke....... But things are fastly changing...... Tanzania tu ktk kila nyanja - si sawa three decades ago...... Wanawake hawatakiwi kupewa nafasi - nafasi zipo tayari, wanatakiwa kutumia fursa zilizopo km wanaume tunavyozitumia as we as men our thinking and attitudes towards women has really changed.......
mmmh nani kakwambia sie tuko chini na nyie mko juu!!!???? msipotoshe maandiko jamani, kilichotajwa kwenye bible ni kuwa mwanamume aliumbwa kwanza na kutoka kwake Mungu akaumba mwanamke, lakini the same bible inasema mwanamke alikuwa mwerevu kuliko mwanamume hata akamrubuni wale tunda la mti, kuwa kichwa cha nyumba doesnt mean kuwa wewe uko juu ya mume, msichukulie mfano wa binadamu kasimama basi kichwa kiko juu ya mwili eti ndio kikubwa kuliko moyo ambao anytime ukiacha kufanya kazi hata kichwa hakiwezi kusimama tena, MWANAMKE NI MOYO wa familia, sasa kichwa bila moyo kinawezaje kuishi???? hujawahi kusikia mtu anakuwa declared kuwa is clinically dead kwa sababu ubongo wake ulioko KICHWANI haufanyi kazi lakini amri ya mwisho ya maisha ya mtu ni pale MOYO unapozima kufanya kazi na sio KICHWA! THINK again utagundua behind every successful man there is a woman ' a strong and brave woman for that matter' BIG UP WANAWAKE WOOOOOTE popote mlipo, mko juuu hata shetani analijua hilo!!!!!!!!!!!![/QUOTE]
knye bold! ndio maana shetani aligundua akimwendea adam kumshawishi kula tunda Adam kwa kuwa ni mjanja ana akili angekataa ikamdidi aende kwa Hawa/Eva aliyeshawishika kirahisi,, kweli nimeamini mko juu hata shetani anawaingia kwa haraka na urahisi
Ni kweli wanume tumepewa nafasi ya kuwa kichwa cha nyumba lakini je tuna wajibika kwa nafsi hiyo? wanawake wanafanya kazi kuliko wanaume hasa katika mataifa masikini hebu angalia wanawake wanavyofanya kazi vijijini mfano kulima, kupika, kutunza watoto, kuteka maji, kupeleka watoto hosipitali etc sehemu kubwa ya majukumu yetu tumewabebesha wao na ndio maana katika mataifa yaliyo endelea majukumu ndani ya familia ni 50% by 50% ili kupunguza mzigo kwa mwanamke. Nawashukuru sana wazazi wangu kwa kunilea katika makuzi ya kuwathamini wanawake leo hii na mke na amekuwa ni mchango mkubwa sana wa mafanikio ya maisha yangu. Nawapenda sana wanawake mungu azidi kuwapa hekima ili mjenge familia bora.
Muumba wetu ndio alietuweka wanaume juu....... Mwanaume utakula kwa jasho, mwanamke atazaa kwa uchungu....... FYI, biblia inakuambia Adam na Hawa walizaa watoto watatu, wote ni vidume - unafikiri hiyo couple haikuwa na watoto wa kike? Walikuwepo lkn hata Bible haimtambui mwanamke....... But things are fastly changing...... Tanzania tu ktk kila nyanja - si sawa three decades ago...... Wanawake hawatakiwi kupewa nafasi - nafasi zipo tayari, wanatakiwa kutumia fursa zilizopo km wanaume tunavyozitumia as we as men our thinking and attitudes towards women has really changed.......
Sijakuelewa,,,au unazungumzia kifo cha mende?
eehhh kumbe kuna utata kwenye subject !!! nitarudi baadaye ku commentSijakuelewa,,,au unazungumzia kifo cha mende?
Leo nataka niwaunge mkono wanawake katika harakati zao za kujikomboa na mfumo dume. Hivi kwa nini wanaume tunapenda kuwa juu kwa kila jambo?? Ni juu juu juu tu kila jambo. Mmhhh, siyo fair jamani inafika mahali wanachoka. Ebu tuwape nafasi na wenzetu.
hata maandiko ya Mungu yanasema Mwanaume ni kichwa cha familia/nyumba. tusiende kinyume na maandiko ya Mungu.
Muumba wetu ndio alietuweka wanaume juu....... Mwanaume utakula kwa jasho, mwanamke atazaa kwa uchungu....... FYI, biblia inakuambia Adam na Hawa walizaa watoto watatu, wote ni vidume - unafikiri hiyo couple haikuwa na watoto wa kike? Walikuwepo lkn hata Bible haimtambui mwanamke....... But things are fastly changing...... Tanzania tu ktk kila nyanja - si sawa three decades ago...... Wanawake hawatakiwi kupewa nafasi - nafasi zipo tayari, wanatakiwa kutumia fursa zilizopo km wanaume tunavyozitumia as we as men our thinking and attitudes towards women has really changed.......
Mkitaka usawa uwe usawa kweli kweli sio kwenye kupendelewa, kuna siku mtu kauliza kwa nini mwanaume anampa pesa mwanamke na hali na yeye anafanya kazi, wanawake wengi walisema lazima watupe maana wenyewe ndio vichwa vya nyumba sasa usawa huu mnautaka wapi mimi huwa sielewi. Ni mambo yepi haswa ambayo mnataka? Harafu for your information nyumba ambayo haina mfumo dume hata kidogo inaboa, maana huwezi kunidekea baadae, mambo ni usawa tu. Mwanamke mtamu ni yule mwenye woga na mnyenyekevu lakini yule mkavu du kama vile una dume lingine.
kwaherini
kifo chamende walishatupindua siku hizi wanakuwa juu
Leo nataka niwaunge mkono wanawake katika harakati zao za kujikomboa na mfumo dume. Hivi kwa nini wanaume tunapenda kuwa juu kwa kila jambo?? Ni juu juu juu tu kila jambo. Mmhhh, siyo fair jamani inafika mahali wanachoka. Ebu tuwape nafasi na wenzetu.