mr.slim ni PKDaaah wakuu mm mmeniacha kabisa yan kwan uyo mr slim ndo nan afu celew elew ayo mambo ya intelligence yamekaaje kwa mfano
Mkuu, Mr. slim tunamjua vizuri sana. Useme tu the guy is lucky. kuna kipindi alipona assassination baada ya kutanguliza motorcade ambayo yeye hakuwemo. For your information, kwenye huo msafara-No one is alive today..kwa sababu wote waliangamia...Ndg yangu umewahi sikia operation za kijeshi tena za kijasusi zikatangazwa kama afande Mambosasa anavyotangaza akikamata silaha au majambazi?
Mimi nadhani tupunguze woga. Kuna shida hapa naona baadhi ya wachangiaji wengi wanaonesha kumjua vzr Mr Slim (japo nina shaka kama wanamjua vzr kweli) lkn hawajui kabis syatems za nchi yao. Matokeo yake mnaleta hapa unnecesaary tensions. Haya mambo ya kupandikiiana watu ni mchezo unaofanywa na nchi zote duniani.
Nashauri tuweke basi bidii kujifunza mambo yetu ili tuwe na ujasiri na system zetu na pengine tutaweza kushauri pale tunapoona mapungufu
Kuna mtu katoka depo juzi ni mwanangu toka makopo, vidudu mpk chuo, ila bado sioni credibility ya uyu mshkaji kiukwel ni mweupe peee.....CCM imetufikisha hapa. Mambo ya weledi wanaleta siasa. Mfumo wa recruitment TISS ulipo anza kuwa wa vimemo smart people wakawa sio Dili tena, Ila Nani ni mtoto wa Nani ndani ya chama ikawa kigezo cha kuajiri
ninyi mmejua harafu wahusika wasijue watz kwa ujuaji mambo sio yaoNa kinachoniacha hoi, ikiwa hizi tetesi zina ukweli kwanini jeshi na TISS wapo kimya?
Kwamba hawajui anayedai miaka saba katumwa?
Hawajui kwamba huko Mwanza wapo wengi na mpaka wanaongea kisukuma?
Mleta mada hawezi taja hata jina la anayemshutumu hapa.
Kweli we mzalendo adui yako unamjua lakini huthubutu hata kutaja jina ?
Sio lazima wajue, watanzania wa kawaida ni wengi kuliko wao, na wao hawapo maeneo yote.ninyi mmejua harafu wahusika wasijue watz kwa ujuaji mambo sio yao
Hoja yangu ni kua, ikiwa wanajua mbona hawachukui hatuaninyi mmejua harafu wahusika wasijue watz kwa ujuaji mambo sio yao
Natamani wangeweza kujua. Tatizo ni hz hbr za intelijensia haziongelewi hovyo na ni siri. Lkn Paka aliminywa na mkwere kiaina. Ila inahitaji nguvu na mbinu kujua nn hasa kilifanyika.Acha uoga wa kitoto mr slim hayupo kama unavyo dhani mkwere alimpeleka mputa mputa.
Nyie ndio mnachukuliwaga wake zenu
ulishawahi kuona wapi toka umeanza kuwa na ufahamu wakatangaza hatua flani imechukuliwa unavyofikilia kungekuwa na amani ktk taifa hili ulitaka waanze kujitangaza kama police kila kazi na mipaka yake najua unatamani kukua mengi taifa lolote haliwezi wezi kuweka kila kitu wazi unafikilia mataifa mengi yanayumba sababu chombo hicho unachokitaja kimeyumba na sio jeshi wala police wala kiongozi furahia amani ya Tanzania kama uko nje jivunie taifa lako na ndiyo maana hata hao islael,marekani wananchi wako confortable sababu umeitaja mossad kuwa imara na cia fbi kuwa imara marekani anavyo vyombo hivyo 15 kwaiyo furahia taifa lako acha kufata story za kisiasaHoja yangu ni kua, ikiwa wanajua mbona hawachukui hatua
acha kutukana watz hao watu wenu wamefundishwa tz kwaiyo usitukane hovyo kama mwisho wa kufikiri ni wa huyó aliyeandikaKwa kipi ilichonacho Tz,Kaazi kweli kweli Huu ni uzi wa 10 kama sikosei mwaka huu ni ishu za Kagame kagame na Rwanda yake nadhani watz wamefika mwisho wa kufikiri
Mbona sijaitaja cia wala fbi? Isijekua umeniquote kimakosa bossulishawahi kuona wapi toka umeanza kuwa na ufahamu wakatangaza hatua flani imechukuliwa unavyofikilia kungekuwa na amani ktk taifa hili ulitaka waanze kujitangaza kama police kila kazi na mipaka yake najua unatamani kukua mengi taifa lolote haliwezi wezi kuweka kila kitu wazi unafikilia mataifa mengi yanayumba sababu chombo hicho unachokitaja kimeyumba na sio jeshi wala police wala kiongozi furahia amani ya Tanzania kama uko nje jivunie taifa lako na ndiyo maana hata hao islael,marekani wananchi wako confortable sababu umeitaja mossad kuwa imara na cia fbi kuwa imara marekani anavyo vyombo hivyo 15 kwaiyo furahia taifa lako acha kufata story za kisiasa
unaelezea nn nimekueleza taifa lolote lenye amani mfano marekani bila hao uliowataja kuwa imara marekani isingekuwa cia kuwa imara ukaitaja mossad ya waizlael ukaisifu nakubaliana na ww sababu ya kuwa imara chombo kile ndiyo islael imefika ilivyo ujiulizi kwann Tanzania imesimama kama ilivyo na majiran zako kalibia wote wamepita kwenye migogoro hujui kwanini unafikilia hata hao wanaotuzunguka wanapenda kuona tulivyo sababu ya hao unaowasema ueledi umeshuka kuwa imaraMbona sijaitaja cia wala fbi? Isijekua umeniquote kimakosa boss
Mkuu post uliyoquote ni hiyo. Hakuna cia wala mossad alipotajwaunaelezea nn nimekueleza taifa lolote lenye amani mfano marekani bila hao uliowataja kuwa imara marekani isingekuwa cia kuwa imara ukaitaja mossad ya waizlael ukaisifu nakubaliana na ww sababu ya kuwa imara chombo kile ndiyo islael imefika ilivyo ujiulizi kwann Tanzania imesimama kama ilivyo na majiran zako kalibia wote wamepita kwenye migogoro hujui kwanini unafikilia hata hao wanaotuzunguka wanapenda kuona tulivyo sababu ya hao unaowasema ueledi umeshuka kuwa imara
Na kinachoniacha hoi, ikiwa hizi tetesi zina ukweli kwanini jeshi na TISS wapo kimya?
Kwamba hawajui anayedai miaka saba katumwa?
Hawajui kwamba huko Mwanza wapo wengi na mpaka wanaongea kisukuma?
Acha utoto shirikisha ubongo unataka kutafuniwa hata kumezeshwa ok jina lake ni baba yakoMleta mada hawezi taja hata jina la anayemshutumu hapa.
Kweli we mzalendo adui yako unamjua lakini huthubutu hata kutaja jina ?
Kwani wewe umekimbilia hapa TZ kwa nini usiishi huko kwenuWaswahili wana matatizo sana hua najiuliza huko Tz kuna nin mpaka Hao wanyarwanda wakae kuspy nchi maskini hiyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Meaning???????????????Usidhani ni kuipiga kijeshi tuu hata economic advantage pia